UBORESHWAJI DAFTARI LA MPIGA KURA MIKOA YA GEITA SIMIYU MWANZA NA SHINYANGA

Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Jun
11 years ago
Dewji Blog21 Oct
Tume ya ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara
Na Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya pili ya ziara yake katika Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Katibu wa Tume hiyo Wakili Fredrick Manyanda (pichani), Tume hiyo itatembelea mikoa hiyo kuanzia keshokutwa Alhamisi, Oktoba 23, mwaka huu hadi tarehe Novemba...
10 years ago
Michuzi
NEC YAKAMILISHA MAANDALIZI UBORESHWAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA KWA MIKOA 4


10 years ago
Dewji Blog30 May
NEC yakamilisha maandalizi uboreshwaji wa daftari la wapiga kura kwa mikoa 4
Maandalizi ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wanchi katika daftari la wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29, 2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR) zipatazo 1492 zinaanza kusambazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanzia mapema Alfajiri Kanda ya Tano ni Mikoa ya Mara, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.
5 years ago
MichuziWAZIRI MPINA ASHIRIKI ZOEZI LA UHAKIKI WA DAFTARI LA MPIGA KURA JIMBO LA KISESA ,SIMIYU
Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Lubiga Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu, Buyamba Duba akiangalia kwa makini namna Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akihakiki taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga
Kura katika Ofisi ya Kata ya Lubiga.
Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akihakiki taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga
Kura katika Kata ya Lubiga Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu. Kulia ni...
10 years ago
Michuzi
mtuhumiwa sugu ujambazi katika mikoa ya mwanza,shinyanga na simiyu atiwa mbaroni


10 years ago
Vijimambo
MAKAMANDA WA MIKOA MITATU YA MWANZA, SIMIYU NA SHINYANGA WAVUNJA NGOME HATARI YA MTANDAO WA UJAMBAZI

Alisema mtiliwa shaka huyo alipohojiwa alisema kuwa jeraha hilo alipigwa risasi na jambazi mwenzake aitwaye Njile Samweli wakati wakifanya tukio la ujambazi katika kijiji cha Idukilo kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga...
11 years ago
Michuzi
Tume ‘Operesheni Tokomeza’ kwenda Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara keshokutwa 23 Oktoba
