WAZIRI MPINA ASHIRIKI ZOEZI LA UHAKIKI WA DAFTARI LA MPIGA KURA JIMBO LA KISESA ,SIMIYU
Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Lubiga Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu, Buyamba Duba akiangalia kwa makini namna Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akihakiki taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga
Kura katika Ofisi ya Kata ya Lubiga.
Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akihakiki taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga
Kura katika Kata ya Lubiga Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu. Kulia ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
UHAKIKI WA TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
5 years ago
MichuziUHAKIKI TAARIFA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA WAANZA JIJINI DODOMA
5 years ago
CCM Blog
MWENYEKITI WA NEC, ATANGAZA KUANZA UHAKIKI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZIMHE. JAJI WA RUFAA (MST.) SEMISTOCLES KAIJAGE (PICHANI) KWENYE MKUTANO WA TUME NA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE, TAREHE 8 APRILI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri...
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
CHADEMA yawataka Wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura
Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika hotel ya New Arusha jijini humo.
Viongozi wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wakifanya sala kabla ya kuanza mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini.
Naibu Katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari.
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo-Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...
5 years ago
CCM Blog
UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MAJIMBO YA KIBAMBA NA UBUNGO UMESHAANZA, MWISHO 20/02/2020

Halmashauri ya Manipaa ya Ubungo Dar es Salaam, imetangaza kuwa Wananchi wa majimbo ya Kibamba na Ubungo katika Manispaa hiyo, kuwa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpigakura limeanza tangu tarehe 14/02/2020 na litafanyika kwa muda wa siku saba kuanzia tarehe hiyo hadi tarehe 20/02/2020 litakapomalizika.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Afisa Uandikishaji katika Majibo hayo na kusambazwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa hiyo ya Ubungo Beatrice...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KUANZA RASMI KESHO JUMAPILI MKOANI RUKWA


(Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa@Rukwareview.blogspot.com)