Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita vya kikabila:Watu 45 wauawa Nigeria

Takriban watu 45 wameuawa kwenye mapambano ya kikabila katika jimbo la Benue, katikati mwa Nigeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vita vya kikabila vyatokota Somalia

Takriban watu 7 wameuawa nchini Somalia katika vita vya kikabila mkoa wa Galgaduud, katikati mwa Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 3 wauawa katika vita Somalia

Mapigano kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo katikati ya Somali yamesababisha vifo vya watu watatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 70 wauawa katika vita nchini Libya

Maafisa nchini Libya wanasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika vita mjini Benghazi imeongezeka na kufikia zaidi ya 70.

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

9 years ago

BBCSwahili

Karibu watu 60 wauawa Nigeria

Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa karibu watu 60 huenda waliuawa katika kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa nchi

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wauawa Zaria Nigeria

Maafisa wa serikali Kaskazini mwa Nigeria wamesema watu 25 wameuawa katika shambulio la bomu la kujitolea mhanga katika mji wa Zaria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini

Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa msikitini Nigeria

Watu 30 wamefariki baada ya kutokea kwa milipuko miwili katika msikiti ulio karibu na mji wa Maiduguri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 39 wauawa na Boko Haram-Nigeria

Utawala wa jimbo la Borno lililoko Kaskazini mwa Nigeria umesema watu 39 wameuawa katika shambulizi lililofanywa mjini Konduga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani