Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi kuendelea kuula BMT

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema Dioniz Malinzi ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Malinzi: Inatosha kuiongoza BMT

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi amesema kipindi cha miaka mmitatu alichoongoza chombo hicho kinatosha na hawezi kuendelea hata kama Serikali itamwongezea muda.

 

10 years ago

Mwananchi

Ikangaa apigiwa debe ‘kumrithi’ Malinzi uenyekiti wa BMT

Mwanariadha wa zamani , Juma Ikangaa anatajwa kurithi nafasi ya uenyekiti  wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) baada ya Dioniz Malinzi kumaliza muda wake wa miaka mitatu juzi Jumapili.

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania kuendelea kuula viwanja vya Bayport

Meneja Biashara wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, Thabit Mndeme, kushoto, akizungumza jambo wakati akitangaza taasisi yao kuendelea kutoa huduma ya mradi wa viwanja vya Vikuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani, ulioanza Mei 22, mwaka huu na kupokewa vizuri na Watanzania wengi. Kulia ni IT Meneja wa Taasisi hiyo, Daud Mavule.
WATANZANIA wenye nia ya kumiliki ardhi, wataendelea kuipata fursa hiyo baada ya Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, kuwapatia...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA KRFA WAFANA MJINI BUKOBA, JAMAL EMIL MALINZI KUENDELEA KUWA MWENYEKITI KRFA

Na Faustine Ruta, Bukoba
Chama cha mpira wa miguu Mkoa wa Kagera (KRFA) kimefanya mkutano mkuu wa kawaida kwenye ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Kagera na Mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa wilaya ya Missenye Kanal Issa Njiku. 
Awali akisoma taarifa yake mwenyekiti wa KRFA ambae pia ni Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi aliwashukuru wajumbe wote wa mkutano mkuu kwa namna walivyoshiriki kwa namna tofauti katika kuendeleza michezo katika wilaya zote za Mkoa wa Kagera,Hotuba iliyosheheni mipango kedekede...

 

9 years ago

Habarileo

Daraja la Kwanza wazidi kuula

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesaini mkataba wa miaka mitatu na Kampuni ya Sahara Media wa haki ya kurusha mechi za Ligi Daraja la Kwanza wenye thamani ya Sh milioni 450 jana.

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi sayansi ‘kuula’ mikopo

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema imeweka mkazo kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi wapewe kipaumbele kupata mikopo ya elimu ya juu katika Bodi ya Mikopo ya Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakandarasi wa ndani kuula zaidi

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameagiza miradi yote itakayotekelezwa kwa kutumia fedha za mfuko wa barabara na zabuni zote wapewe makandarasi wazalendo, ili kuwainua kiuchumi. Agizo hilo alilitoa jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka mitatu ya BMT ahadi haijatimizwa

Imesalia miezi sita ili uongozi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) utimize miaka mitatu iliyopewa kusimamia uendeshaji wa shughuli za michezo nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Waungwana, hivi BMT ipo au haipo?

Baraza la Michezo la Taifa (BMT), ni mojawapo ya vyombo vya juu vya Serikali katika kushughulikia masuala mbalimbali ya michezo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani