Wakandarasi wa ndani kuula zaidi
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameagiza miradi yote itakayotekelezwa kwa kutumia fedha za mfuko wa barabara na zabuni zote wapewe makandarasi wazalendo, ili kuwainua kiuchumi. Agizo hilo alilitoa jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
Halmashauri Mkoa na Manispaa Singida zadaiwa zaidi shilingi 6.3 bilioni na wakandarasi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.
Na Nathaniel Limu, Singida
SEKRETARIETI ya Mkoa na Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zinadaiwa na wakandarasi,wazabuni na watumishi wa umma zaidi ya shilingi 6.3 bilioni hadi novemba mwaka jana.
Madeni hayo yameainishwa kwenye taarifa ya madeni ya mkoa wa Singida iliyotolewa mbele ya kikao cha kamati ya ushauri wa mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Singida.
Taarifa hiyo...
11 years ago
Habarileo12 Aug
Wanafunzi sayansi ‘kuula’ mikopo
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema imeweka mkazo kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi wapewe kipaumbele kupata mikopo ya elimu ya juu katika Bodi ya Mikopo ya Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Malinzi kuendelea kuula BMT
9 years ago
Habarileo09 Oct
Daraja la Kwanza wazidi kuula
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesaini mkataba wa miaka mitatu na Kampuni ya Sahara Media wa haki ya kurusha mechi za Ligi Daraja la Kwanza wenye thamani ya Sh milioni 450 jana.
10 years ago
MichuziWatanzania kuendelea kuula viwanja vya Bayport
WATANZANIA wenye nia ya kumiliki ardhi, wataendelea kuipata fursa hiyo baada ya Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, kuwapatia...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Pinda ataka watafiti wa ndani watumiwe zaidi
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametoa changamoto kwa taasisi mbalimbali hasa za serikali nchini kuwaamini na kuwatumia watafiti wa ndani badala ya kukimbilia kutumia wa nje ambao amesema mara nyingi huwa...
9 years ago
Bongo513 Sep
Makamua: Nina nyimbo zaidi ya 100 zipo ndani
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rvOJvRe_2mg/Vbx8OnN1Z1I/AAAAAAAAFZ4/2qF8R9C64ik/s72-c/utalii%2Bwa%2Bndani.jpg)
TANAPA KUKUSANYA ZAIDI YA 2.5BN/- KAMPENI YA KUHAMASISHA UTALII YA NDANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rvOJvRe_2mg/Vbx8OnN1Z1I/AAAAAAAAFZ4/2qF8R9C64ik/s640/utalii%2Bwa%2Bndani.jpg)
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kupitia hifadhi zake 16 linakusudia kukusanya zaidi ya 2.5bn/- katika kampeni ya kuhamasisha watu kutembelea hifadhi za taifa...
10 years ago
Vijimambo31 Jul
SERIKALI YASAINI MKATABA WA KUKUSANYA ZAIDI YA SH. MILIONI 12 KUPITIA MAPATO YA NDANI
![FE1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/FE1.jpg)
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akisaini Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya Sh. milioni 12,362,969 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hivi karibuni jijini Dar es salaam ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bernard Mchomvu.
![FE2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/FE2.jpg)