Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakandarasi wa ndani kuula zaidi

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameagiza miradi yote itakayotekelezwa kwa kutumia fedha za mfuko wa barabara na zabuni zote wapewe makandarasi wazalendo, ili kuwainua kiuchumi. Agizo hilo alilitoa jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri Mkoa na Manispaa Singida zadaiwa zaidi shilingi 6.3 bilioni na wakandarasi

Waziri Mkuu Akiongea na Waandishi wa Habari 2

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.

Na Nathaniel Limu, Singida

SEKRETARIETI ya Mkoa na Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zinadaiwa na wakandarasi,wazabuni na watumishi wa umma zaidi ya shilingi 6.3 bilioni hadi novemba mwaka jana.

Madeni hayo yameainishwa kwenye taarifa ya madeni ya mkoa wa Singida iliyotolewa mbele ya kikao cha kamati ya ushauri wa mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Singida.

Taarifa hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi sayansi ‘kuula’ mikopo

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema imeweka mkazo kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi wapewe kipaumbele kupata mikopo ya elimu ya juu katika Bodi ya Mikopo ya Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Malinzi kuendelea kuula BMT

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema Dioniz Malinzi ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).

 

9 years ago

Habarileo

Daraja la Kwanza wazidi kuula

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesaini mkataba wa miaka mitatu na Kampuni ya Sahara Media wa haki ya kurusha mechi za Ligi Daraja la Kwanza wenye thamani ya Sh milioni 450 jana.

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania kuendelea kuula viwanja vya Bayport

Meneja Biashara wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, Thabit Mndeme, kushoto, akizungumza jambo wakati akitangaza taasisi yao kuendelea kutoa huduma ya mradi wa viwanja vya Vikuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani, ulioanza Mei 22, mwaka huu na kupokewa vizuri na Watanzania wengi. Kulia ni IT Meneja wa Taasisi hiyo, Daud Mavule.
WATANZANIA wenye nia ya kumiliki ardhi, wataendelea kuipata fursa hiyo baada ya Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, kuwapatia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda ataka watafiti wa ndani watumiwe zaidi

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametoa changamoto kwa taasisi mbalimbali hasa za serikali nchini kuwaamini na kuwatumia watafiti wa ndani badala ya kukimbilia kutumia wa nje ambao amesema mara nyingi huwa...

 

9 years ago

Bongo5

Makamua: Nina nyimbo zaidi ya 100 zipo ndani

Muimbaji wa R&B, Mack Paul Sekimanga aka Makamua amewataka mashabiki wa muziki wake kusubiria ujio wake mpya akiwa chini ya Mj Records. Makamua ameiambia Bongo5 kuwa, ana nyimbo zaidi ya 100 alizorekodi katika studio tofauti tofauti ila anachohitaji sasa hivi ni ujio mpya akiwa chini ya Mj Records. “Nimefanya kazi na producers tofauti tofauti lakini […]

 

10 years ago

Vijimambo

TANAPA KUKUSANYA ZAIDI YA 2.5BN/- KAMPENI YA KUHAMASISHA UTALII YA NDANI

Kushoto kwenda kulia ni Afisa Utalii Nyanda za Juu Kusini Gervas Mwashimaha,  Ofisa Utalii wa Tanapa wa ofisi ya Utalii Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Risala Kabongo, Kaimu Meneja Masoko TANAPA Victor Ketansi na Afisa Mawasiliano Mwandamizi TANAPA Catherine Mbena wakiongea na wanahabari mkoani Iringa jana. (Picha na Friday Simbaya)


SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kupitia hifadhi zake 16 linakusudia kukusanya zaidi ya 2.5bn/- katika kampeni ya kuhamasisha watu kutembelea hifadhi za taifa...

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI YASAINI MKATABA WA KUKUSANYA ZAIDI YA SH. MILIONI 12 KUPITIA MAPATO YA NDANI

FE1
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akisaini Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya Sh. milioni 12,362,969 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hivi karibuni jijini Dar es salaam ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bernard Mchomvu.FE2Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akibadilisha hati ya mkataba wa makubaliano na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani