Kocha wa Cheka aijia juu BMT
Cheka na Miyeyusho wamejiandaa kwa kutumia fedha zao, walitarajia kurudishiwa baada ya pambano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Mar
Lukuvi aijia juu idara ya ardhi
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewajia juu maofisa ardhi nchini kuwa idara yao imekuwa kichaka na uchochoro wa kuwafanyia unyanyasaji na uonevu mkubwa wananchi kwa kuwapoka haki zao za kumiliki viwanja vya makazi na mashamba kihalali na kueleza kuwa sasa watakiona.
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Mar
Mbunge aijia juu Wizara ya Ardhi
Na Happiness Mtweve, Dodoma
MBUNGE wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaza Mangungu, ameiomba Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kutoa muda wa kutosha kuwahudumia wananchi.
Akiuliza swali bungeni jana mjini hapa, Mangungu alisema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi kutopata muda wa kutosha kupata huduma mbalimbali kutoka wizarani hapo.
Mangungu alisema wizara hiyo ni nyeti na inategemewa na Watanzania wote kushughulikia huduma mbalimbali katrika eneo la ardhi, nyumba na makazi.
Alihoji...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Kocha: Cheka acha uvivu
Kocha Abdallah ‘Comando’ Salehe amemwambia bondia Francis Cheka aache uvivu kwa kisingizio cha kuumia mkono na kumtaka kuendelea kujifua hata kama amefungwa bandeji ngumu mkononi.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki
Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Kocha Laszlo Boloni: Cristiano Ronaldo ni hatari juu na chini
Nyota Cristiano Ronaldo alianza kucheza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza katika Ligi Kuu akiwa klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno baada ya kupewa nafasi na kocha Laszlo Boloni aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.
10 years ago
Vijimambo
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Malinzi kuendelea kuula BMT
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema Dioniz Malinzi ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).
11 years ago
Mwananchi03 Sep
Malinzi: Inatosha kuiongoza BMT
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi amesema kipindi cha miaka mmitatu alichoongoza chombo hicho kinatosha na hawezi kuendelea hata kama Serikali itamwongezea muda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania