Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha wa Cheka aijia juu BMT

Cheka na Miyeyusho wamejiandaa kwa kutumia fedha zao, walitarajia kurudishiwa baada ya pambano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Lukuvi aijia juu idara ya ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akifafanua jambo kwa wakazi wa Manispaa ya Sumbawanga kuhusu kero mbalimbali za migogoro ya ardhi zinazowakabili alipokutana nao katika ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa jana. (Picha na Peti Siyame).WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewajia juu maofisa ardhi nchini kuwa idara yao imekuwa kichaka na uchochoro wa kuwafanyia unyanyasaji na uonevu mkubwa wananchi kwa kuwapoka haki zao za kumiliki viwanja vya makazi na mashamba kihalali na kueleza kuwa sasa watakiona.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mbunge aijia juu Wizara ya Ardhi


Na Happiness Mtweve, Dodoma
MBUNGE wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaza Mangungu, ameiomba Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kutoa muda wa kutosha kuwahudumia wananchi.
Akiuliza swali bungeni jana mjini hapa, Mangungu alisema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi kutopata muda wa kutosha kupata huduma mbalimbali kutoka wizarani hapo.
Mangungu alisema wizara hiyo ni nyeti na inategemewa na Watanzania wote kushughulikia huduma mbalimbali katrika eneo la ardhi, nyumba na makazi.
Alihoji...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha: Cheka acha uvivu

Kocha Abdallah ‘Comando’ Salehe amemwambia bondia Francis Cheka aache uvivu kwa kisingizio cha kuumia mkono na kumtaka kuendelea kujifua hata kama amefungwa bandeji ngumu mkononi.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki

Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Laszlo Boloni: Cristiano Ronaldo ni hatari juu na chini

Nyota Cristiano Ronaldo alianza kucheza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza katika Ligi Kuu akiwa klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno baada ya kupewa nafasi na kocha Laszlo Boloni aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Malinzi kuendelea kuula BMT

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema Dioniz Malinzi ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi: Inatosha kuiongoza BMT

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi amesema kipindi cha miaka mmitatu alichoongoza chombo hicho kinatosha na hawezi kuendelea hata kama Serikali itamwongezea muda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani