Mbunge aijia juu Wizara ya Ardhi
Na Happiness Mtweve, Dodoma
MBUNGE wa Kilwa Kaskazini (CCM), Murtaza Mangungu, ameiomba Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kutoa muda wa kutosha kuwahudumia wananchi.
Akiuliza swali bungeni jana mjini hapa, Mangungu alisema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi kutopata muda wa kutosha kupata huduma mbalimbali kutoka wizarani hapo.
Mangungu alisema wizara hiyo ni nyeti na inategemewa na Watanzania wote kushughulikia huduma mbalimbali katrika eneo la ardhi, nyumba na makazi.
Alihoji...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Mar
Lukuvi aijia juu idara ya ardhi
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewajia juu maofisa ardhi nchini kuwa idara yao imekuwa kichaka na uchochoro wa kuwafanyia unyanyasaji na uonevu mkubwa wananchi kwa kuwapoka haki zao za kumiliki viwanja vya makazi na mashamba kihalali na kueleza kuwa sasa watakiona.
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kocha wa Cheka aijia juu BMT
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Wizara ya Ardhi inaongoza kwa uzembe — Mbunge
MBUNGE wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (CUF), amesema kuwa kati ya Wizara ambazo zinalalamikiwa kwa uzembe ni Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Khalifa, aliyasema hayo bungeni jana...
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;
2.TAREHE...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Makalla wataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero
Makalla akiyasema hayo wakati wa Mkutano wake na wananchi hao leo kwenye kijiji cha Mkindo Bungoma ndani ya Jimbo hilo la Mvomero.
![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU, WIZARA YA ARDHI AFANYA JITIHADA KUBORESHA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Ujumbe wizara ya ardhi wafurahia utendaji wa Nchi ya Singapore namna ya utawala bora katika ardhi
Ujumbe wa Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi umemaliza ziara yake nchini Singapore huku ukiwa umejifunza mambo muhimu ikiwemo kuwepo utawala wa sheria katika usimamizi wa ardhi, kutokuwepo rushwa, nidhamu na uaminifu mkubwa wa watumishi wa umma, jamii inayopenda kujitegemea na usalama wa hali ya juu. Yafuatayo ni matukio ya ziara hiyo kwenye Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Singapore(URA) kama yalivyoratibiwa na Muungano Saguya.
Ujumbe wa NHC...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s72-c/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula astukizia baraza la ardhi kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s640/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9OTejzAZrYk/VoKd2oURfAI/AAAAAAAIPOo/xUJwh-Y8YSI/s640/614bcd92-6870-4c04-90bd-03cc7891e0ae.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zwDd4dLLkjU/VX-3ghWtusI/AAAAAAAA__s/1FaMGuIw-94/s72-c/B%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI,ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA TUHUMA MBALIMBALI ZA ARDHI ZILIZOIBULIWA BUNGENI HIVI KARIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwDd4dLLkjU/VX-3ghWtusI/AAAAAAAA__s/1FaMGuIw-94/s640/B%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mBnHPlifuKQ/VX-3lBOHMkI/AAAAAAABAAk/9PkOTWyiRe8/s640/B%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pVIjpLHIp-s/VX-3lg82YEI/AAAAAAABAAg/GhVjrTaOn0A/s640/B%2B3.jpg)