Odinga ampongeza Magufuli, amshauri Lowassa
Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza John Magufuli baada yake kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais Tanzania. Aidha, amemshauri mgombea wa upinzani Edward Lowassa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DYrBmGnWLho/VjLtofp8oII/AAAAAAAIDcQ/-pzCMwulDwE/s72-c/download.jpg)
Raila Odinga ampongeza Dkt Magufuli, amshauri Lowassa aende mahakamani kama hajaridhika
![](http://1.bp.blogspot.com/-DYrBmGnWLho/VjLtofp8oII/AAAAAAAIDcQ/-pzCMwulDwE/s640/download.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4zwCN8taSoE/VjJqpuxL5wI/AAAAAAAA31Y/UoqEBHfcBwM/s72-c/Raila-Odinga-stripped-of-his-last-political-benefit.jpg)
Raila Odinga Ampongeza Magufuli, Atoa Ushauri Kwa Lowassa
![](http://4.bp.blogspot.com/-4zwCN8taSoE/VjJqpuxL5wI/AAAAAAAA31Y/UoqEBHfcBwM/s640/Raila-Odinga-stripped-of-his-last-political-benefit.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza John Magufuli baada yake kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais Tanzania.Aidha, amemshauri mgombea wa upinzani Edward Lowassa Kuwa Kama Hajakubaliana na Matokeo basi Aende Mahakama kushtaki Kama yeye Alivyofanya wakati akigombea Urais Kenya na Kushindwa na Kenyatta.....Quote: What we have, what we wish we had - ambitions fulfilled, ambitions disappointed, investments won, investments lost, elections won, elections lost - these things may...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*Nnae4UdU7YfyV7xFANIZ69p9L2n8WiReLzW4-RZM*EG8Vl8DStQgqzFTKewX9FxSq467HMlk0qx*DmvqWnBXY-t/uhuru1.jpg?width=650)
RAIS UHURU KENYATTA AHANI MSIBA WA MTOTO WA RAILA ODINGA, FIDEL ODINGA
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisaini kitabu cha maombolezo alipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Raila Odinga, Fidel Odinga aliyefariki jana. Kulia ni mke wa Odinga, Ida Odinga. Rais Uhuru Kenyatta akimpa pole aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga huko Karen, Kenya.…
10 years ago
Vijimambo27 Mar
Nape ampongeza Lowassa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-27March2015.jpg)
Nape amesema hatua hiyo ya Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli ni nzuri kwa kuamua kusitisha makundi kwenda kumshawishi agombee urais, ambayo kwa siku chache mfululizo yalikwenda nyumbani kwake Monduli na mjini Dodoma kwa nia hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana akiwa katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUkHj7oh96H4JcN*QDdK6mvVLd0SXjSh9666yLrje60-ERk2GxpzNP3GFsK-51rtfiTB3mPUAPWI-f12owzwna08/unnamedM.jpg)
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA, NCHINI KENYA
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eUOqPYFmwQ0/VLDglePuzsI/AAAAAAAG8Z4/_WPA64PjthE/s72-c/unnamedM.jpg)
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA,NCHINI KENYA
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli yupo nchini Kenya akiiwakilisha Tanzania kwenye mazishi ya mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga aitwaye Fidel Odinga aliefariki mwishoni mwa wiki iliyopita,yanayofanyika huko Bondo, Kisumu, Kenya.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe...
![](http://4.bp.blogspot.com/-eUOqPYFmwQ0/VLDglePuzsI/AAAAAAAG8Z4/_WPA64PjthE/s1600/unnamedM.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8eePFO0BTY8/VLDglIbi_lI/AAAAAAAG8Z8/SYTXq7T0ax4/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Raila Odinga afanyiwa upasuaji baada ya kuugua mgongo, Kaka wa Raila Odinga athibitisha
Kaka na masemaji wa familia Dkt Oburu Odinga azungumza na BBC kuhusu afya ya Raila Odinga.
9 years ago
Habarileo25 Sep
JK ampongeza Magufuli kwa fikra, mabadiliko
RAIS Jakaya Kikwete amesema ni jambo jema kwa mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli kueleza fikra na matumaini ya kuleta mabadiliko katika uendeshaji wa Tanzania tofauti na uendeshaji ulivyo chini ya uongozi wake.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kiongozi wa upinzani wa Kenya Raila Odinga amesema Rais Magufuli ''anashauriwa vibaya''
Baada ya Kiongozi wa Upinzani Kenya kusema rais wa Tanzania John Magufuli anashauriwa vibaya, Mbunge wa CCM Job Lusinde Kibabaje amesesema ushauri wa rais Unawafaa Watanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania