Virusi vya corona: Kiongozi wa upinzani wa Kenya Raila Odinga amesema Rais Magufuli ''anashauriwa vibaya''
Baada ya Kiongozi wa Upinzani Kenya kusema rais wa Tanzania John Magufuli anashauriwa vibaya, Mbunge wa CCM Job Lusinde Kibabaje amesesema ushauri wa rais Unawafaa Watanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eUOqPYFmwQ0/VLDglePuzsI/AAAAAAAG8Z4/_WPA64PjthE/s72-c/unnamedM.jpg)
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA,NCHINI KENYA
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli yupo nchini Kenya akiiwakilisha Tanzania kwenye mazishi ya mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga aitwaye Fidel Odinga aliefariki mwishoni mwa wiki iliyopita,yanayofanyika huko Bondo, Kisumu, Kenya.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe...
![](http://4.bp.blogspot.com/-eUOqPYFmwQ0/VLDglePuzsI/AAAAAAAG8Z4/_WPA64PjthE/s1600/unnamedM.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8eePFO0BTY8/VLDglIbi_lI/AAAAAAAG8Z8/SYTXq7T0ax4/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUkHj7oh96H4JcN*QDdK6mvVLd0SXjSh9666yLrje60-ERk2GxpzNP3GFsK-51rtfiTB3mPUAPWI-f12owzwna08/unnamedM.jpg)
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA, NCHINI KENYA
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.…
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Raila Odinga afanyiwa upasuaji baada ya kuugua mgongo, Kaka wa Raila Odinga athibitisha
Kaka na masemaji wa familia Dkt Oburu Odinga azungumza na BBC kuhusu afya ya Raila Odinga.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*Nnae4UdU7YfyV7xFANIZ69p9L2n8WiReLzW4-RZM*EG8Vl8DStQgqzFTKewX9FxSq467HMlk0qx*DmvqWnBXY-t/uhuru1.jpg?width=650)
RAIS UHURU KENYATTA AHANI MSIBA WA MTOTO WA RAILA ODINGA, FIDEL ODINGA
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisaini kitabu cha maombolezo alipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Raila Odinga, Fidel Odinga aliyefariki jana. Kulia ni mke wa Odinga, Ida Odinga. Rais Uhuru Kenyatta akimpa pole aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga huko Karen, Kenya.…
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Virusi vya corona: Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya Rais Kenya wamepatwa na corona
Wafanyakazi wanne wa Ikulu ya rais nchini Kenya wamepatikana na virus vya corona.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Boris Johnson amesema 'hali ingeweza kwenda mrama'
Waziri Mkuu amewashukuru manesi wawili waliomhudumia.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Trump amesema chanjo itakuwa tayari mwaka huu
Hatimaye Trump anaimani kwamba chanjo ya virusi vya corona itapatikana kabla ya mwisho wa mwaka huu
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania