Raila Odinga ampongeza Dkt Magufuli, amshauri Lowassa aende mahakamani kama hajaridhika
![](http://1.bp.blogspot.com/-DYrBmGnWLho/VjLtofp8oII/AAAAAAAIDcQ/-pzCMwulDwE/s72-c/download.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza Dkt. John Pombe Joseph Magufuli baada yake kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa Urais Tanzania.Akiongea katika mahojiano na BBC, Mhe Odinga amemshauri mgombea wa upinzani Mhe. Edward Lowassa Kuwa Kama Hajakubaliana na Matokeo basi Aende Mahakama kushtaki Kama yeye Alivyofanya wakati akigombea Urais Kenya na kushindwa na Rais Uhuru Kenyatta.Ameeleza pia matumaini yake kwamba Dkt. Magufuli atahakikisha kuendelea kwa uhusiano mzuri uliopo katia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Odinga ampongeza Magufuli, amshauri Lowassa
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4zwCN8taSoE/VjJqpuxL5wI/AAAAAAAA31Y/UoqEBHfcBwM/s72-c/Raila-Odinga-stripped-of-his-last-political-benefit.jpg)
Raila Odinga Ampongeza Magufuli, Atoa Ushauri Kwa Lowassa
![](http://4.bp.blogspot.com/-4zwCN8taSoE/VjJqpuxL5wI/AAAAAAAA31Y/UoqEBHfcBwM/s640/Raila-Odinga-stripped-of-his-last-political-benefit.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza John Magufuli baada yake kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais Tanzania.Aidha, amemshauri mgombea wa upinzani Edward Lowassa Kuwa Kama Hajakubaliana na Matokeo basi Aende Mahakama kushtaki Kama yeye Alivyofanya wakati akigombea Urais Kenya na Kushindwa na Kenyatta.....Quote: What we have, what we wish we had - ambitions fulfilled, ambitions disappointed, investments won, investments lost, elections won, elections lost - these things may...
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Raila Odinga afanyiwa upasuaji baada ya kuugua mgongo, Kaka wa Raila Odinga athibitisha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUkHj7oh96H4JcN*QDdK6mvVLd0SXjSh9666yLrje60-ERk2GxpzNP3GFsK-51rtfiTB3mPUAPWI-f12owzwna08/unnamedM.jpg)
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA, NCHINI KENYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eUOqPYFmwQ0/VLDglePuzsI/AAAAAAAG8Z4/_WPA64PjthE/s72-c/unnamedM.jpg)
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA,NCHINI KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-eUOqPYFmwQ0/VLDglePuzsI/AAAAAAAG8Z4/_WPA64PjthE/s1600/unnamedM.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8eePFO0BTY8/VLDglIbi_lI/AAAAAAAG8Z8/SYTXq7T0ax4/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*Nnae4UdU7YfyV7xFANIZ69p9L2n8WiReLzW4-RZM*EG8Vl8DStQgqzFTKewX9FxSq467HMlk0qx*DmvqWnBXY-t/uhuru1.jpg?width=650)
RAIS UHURU KENYATTA AHANI MSIBA WA MTOTO WA RAILA ODINGA, FIDEL ODINGA
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kiongozi wa upinzani wa Kenya Raila Odinga amesema Rais Magufuli ''anashauriwa vibaya''
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-c7iRiJSQtmU/VDK9mWwZ-FI/AAAAAAAAC5k/yUbsarE173E/s72-c/140930091546_raila_odinga_384x216_bbc_nocredit.jpg%20cursor:%20pointer;)
Raila Odinga atandikwa bakora
![](https://lh5.googleusercontent.com/-c7iRiJSQtmU/VDK9mWwZ-FI/AAAAAAAAC5k/yUbsarE173E/140930091546_raila_odinga_384x216_bbc_nocredit.jpg%20cursor:%20pointer;)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fKNZkWK9oi4/VDK9kww06hI/AAAAAAAAC5c/7V5xcLv0Aws/IMG-20141006-WA0000.jpg%20cursor:%20pointer;)
Mzee Mdzombo anasemekana kutokuwa timamu kiakiliKiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amemsamehe mzee aliyempiga bakora katika mkutano wa hadhara wa kisiasa katika jimbo la Kwale Pwani ya Kenya,Mwanamume huyo, Lengo Mdzombo, anayefanya kibarua katika shamba moja Kwale, alikamatwa Jumanne na kufikishwa mahakamani.
Alishitakiwa kwa kosa la kumshambulia kiongozi huyo pamoja na gavana wa Kwale.Hali ya taharuki ilitanda katika mkutano wa hadhara Jumatatu wiki hii baada ya Mdzombo kwenda...
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Mwana wa Raila Odinga afariki