Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makoye amshauri Maximo kuhusu Coutinho

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ephraim Makoye ‘Dogo’, amesema kocha Marcio Maximo anatakiwa kumpeleka ‘gym’ kiungo wake, Andrey Coutinho kwa kuwa hana nguvu za kutosha kupambana na mabeki wa Kitanzania. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Maximo amchunia Coutinho

Aliyekuwa kocha wa Yanga, Marcio Maximo. Na Omary Mdose
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho, amefunguka kuwa hajawa na mawasiliano na kocha wake wa zamani aliyekuwa anakikinoa kikosi hicho, Marcio Maximo ambaye ni Mbrazili mwenzake. Uongozi wa Yanga ulimfungashia virago Maximo mwishoni mwa mwaka jana kwa madai kuwa alishindwa kuijenga timu vizuri huku pia akipoteza mchezo wa Nani Mtani Jembe kwa mabao 2-0 dhidi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Maximo amleta Coutinho Yanga

>Kocha mpya wa Yanga, Marcio Maximo amefungua ukurasa mpya na kipa Juma Kaseja na kuiaidi   kuing’arisha timu hiyo kimataifa kama ilivyo TP Mazembe, wakati kiungo Mbrazili, Andrey Coutinho akitua nchini jana tayari kujiunga na vigogo hao.

 

11 years ago

Mwananchi

Maximo awatetea Coutinho, Jaja

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amewatetea nyota wake wawili kutoka Brazil, Andrey Coutinho, Santos Santana ‘Jaja’ kwa kusema ni wachezaji wazuri, na kama mnataka taarifa zao nendeni kwenye mtandao wa You Tube, mtaziona.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba amshauri Lulu haya kuhusu uigizaji wa filamu

Barnaba Elias ameusifia uigizaji wa Elizabeth Michael aka Lulu lakini amemtaka kubadilika na kutafuta aina moja ya uigizaji ambao utakuwa unamtambulisha. Akizungumza na kipindi cha DJ Show cha Radio One, Barnaba alisema anapenda kuangalia filamu za kibongo na anashangaa kuona watu wanabeza kazi hizo. “Lulu anafanya vizuri lakini atambue anatakiwa kutafuta sehemu moja anayofiti, jinsi […]

 

10 years ago

Vijimambo

ANNA MAKOYE AKAMATA NONDOOZ

 Anna Makoye akiwa na mumewe bwana Dotto Mallongo wakipata picha ya pamoja mara baada ya mahafali ya 10 ya chuo kikuu cha kimataifa cha Virginia(Virginia international University) kilichopo Fairfax siku ya Jumapili May 10, 2015. Anna Makoye amekamata Nondo ya Masters of Business Administration in human resources. Kutoka kushoto ni dada raia wa Nigeria, professor Victoria Ashiru, Anna Makoye na Dotto Mallongo, wakiwa katika picha ya pamoja katika mahafali ya 10 ya Virginia international...

 

10 years ago

Mwananchi

Makoye aipa Simba siri ya mafanikio

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ephraim Makoye “Dogo” amewataka viongozi wa Simba kumaliza migogoro yao ya ndani kama kweli wanataka kufanya vyema katika mechi za Ligi Kuu ikiwepo ile ya Yanga Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

DAVINA AMSHAURI WASTARA

Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. Stori: Gladness Mallya BAADA ya staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma kutoa shukurani kwa wasanii wenzake zilizotafsiriwa kama anajitabiria kifo chake, msanii mwenzake, Halima Yahaya ‘Davina’ ameibuka na kumtaka asikate tamaa. Halima Yahaya ‘Davina’. Alisema alishtuka baada ya kuona maelezo gazetini (Ijumaa Wikienda) ambayo Wastara alimpongeza kama rafiki...

 

9 years ago

BBCSwahili

Odinga ampongeza Magufuli, amshauri Lowassa

Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza John Magufuli baada yake kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais Tanzania. Aidha, amemshauri mgombea wa upinzani Edward Lowassa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani