Makoye amshauri Maximo kuhusu Coutinho
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ephraim Makoye ‘Dogo’, amesema kocha Marcio Maximo anatakiwa kumpeleka ‘gym’ kiungo wake, Andrey Coutinho kwa kuwa hana nguvu za kutosha kupambana na mabeki wa Kitanzania.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFwrycIIQYoiAiv-jX6mf99*P3BFu6hn23xgrfJxqOpOwJqtMOW7oLczsgqFidCalRntnsQtucPW4tMaZ*ChkWaa/MAXI.jpg)
Maximo amchunia Coutinho
Aliyekuwa kocha wa Yanga, Marcio Maximo. Na Omary Mdose
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho, amefunguka kuwa hajawa na mawasiliano na kocha wake wa zamani aliyekuwa anakikinoa kikosi hicho, Marcio Maximo ambaye ni Mbrazili mwenzake. Uongozi wa Yanga ulimfungashia virago Maximo mwishoni mwa mwaka jana kwa madai kuwa alishindwa kuijenga timu vizuri huku pia akipoteza mchezo wa Nani Mtani Jembe kwa mabao 2-0 dhidi ya...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Maximo amleta Coutinho Yanga
>Kocha mpya wa Yanga, Marcio Maximo amefungua ukurasa mpya na kipa Juma Kaseja na kuiaidi  kuing’arisha timu hiyo kimataifa kama ilivyo TP Mazembe, wakati kiungo Mbrazili, Andrey Coutinho akitua nchini jana tayari kujiunga na vigogo hao.
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amewatetea nyota wake wawili kutoka Brazil, Andrey Coutinho, Santos Santana ‘Jaja’ kwa kusema ni wachezaji wazuri, na kama mnataka taarifa zao nendeni kwenye mtandao wa You Tube, mtaziona.
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...
9 years ago
Bongo508 Oct
Barnaba amshauri Lulu haya kuhusu uigizaji wa filamu
Barnaba Elias ameusifia uigizaji wa Elizabeth Michael aka Lulu lakini amemtaka kubadilika na kutafuta aina moja ya uigizaji ambao utakuwa unamtambulisha. Akizungumza na kipindi cha DJ Show cha Radio One, Barnaba alisema anapenda kuangalia filamu za kibongo na anashangaa kuona watu wanabeza kazi hizo. “Lulu anafanya vizuri lakini atambue anatakiwa kutafuta sehemu moja anayofiti, jinsi […]
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-T9d0XAw7N9M/VVBPRWNeoyI/AAAAAAADmqg/691SPHpyzK0/s72-c/796d405cd203a22d211273d5dec3da95.jpg)
ANNA MAKOYE AKAMATA NONDOOZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-T9d0XAw7N9M/VVBPRWNeoyI/AAAAAAADmqg/691SPHpyzK0/s1600/796d405cd203a22d211273d5dec3da95.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ftd1luxMeu0/VVBPRYCDf2I/AAAAAAADmqo/DxMZW3wTfu4/s640/24bcabac6bc9bfbcbe187e4c4ceb4fa6.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Makoye aipa Simba siri ya mafanikio
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ephraim Makoye “Dogo†amewataka viongozi wa Simba kumaliza migogoro yao ya ndani kama kweli wanataka kufanya vyema katika mechi za Ligi Kuu ikiwepo ile ya Yanga Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt62Fb-FxLCDwOjV3ToBr6oaQDGU-k-iEtSHtp91fpwSMwhZvLo3RCxHiJImZPzlsrql0e1pTY8eiTmFVR68DDDWj/wastara3.jpg?width=600)
DAVINA AMSHAURI WASTARA
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. Stori: Gladness Mallya BAADA ya staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma kutoa shukurani kwa wasanii wenzake zilizotafsiriwa kama anajitabiria kifo chake, msanii mwenzake, Halima Yahaya ‘Davina’ ameibuka na kumtaka asikate tamaa. Halima Yahaya ‘Davina’. Alisema alishtuka baada ya kuona maelezo gazetini (Ijumaa Wikienda) ambayo Wastara alimpongeza kama rafiki...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Odinga ampongeza Magufuli, amshauri Lowassa
Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza John Magufuli baada yake kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais Tanzania. Aidha, amemshauri mgombea wa upinzani Edward Lowassa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania