Maximo amchunia Coutinho
![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFwrycIIQYoiAiv-jX6mf99*P3BFu6hn23xgrfJxqOpOwJqtMOW7oLczsgqFidCalRntnsQtucPW4tMaZ*ChkWaa/MAXI.jpg)
Aliyekuwa kocha wa Yanga, Marcio Maximo. Na Omary Mdose KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho, amefunguka kuwa hajawa na mawasiliano na kocha wake wa zamani aliyekuwa anakikinoa kikosi hicho, Marcio Maximo ambaye ni Mbrazili mwenzake. Uongozi wa Yanga ulimfungashia virago Maximo mwishoni mwa mwaka jana kwa madai kuwa alishindwa kuijenga timu vizuri huku pia akipoteza mchezo wa Nani Mtani Jembe kwa mabao 2-0 dhidi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Maximo amleta Coutinho Yanga
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Makoye amshauri Maximo kuhusu Coutinho
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...
10 years ago
Habarileo08 Aug
Coutinho chupuchupu Yanga
MASHABIKI wa Yanga wamemwokoa kiungo Mbrazili Andrey Coutinho asitemwe baada ya kumpigia simu Mwenyekiti wao Yusuf Manji, ambaye aliamuru mchezaji huyo asiachwe.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRbA0zlSwWyp7nX-wvOgyJKorrxuSjjYERAhW8nuZH8NdsneIy64x1hNfihcbVw0cIrVL-lzdmoz4FXs2azJElM/tambwe.gif?width=650)
Tambwe amuonya Coutinho
10 years ago
TheCitizen04 Mar
Coutinho out of Dar derby
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Coutinho amfunika Jaja