Coutinho amfunika Jaja
Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho amemfunika mwenzake Genilson Santos ‘Jaja’ kwa umahiri wa kupachika mabao katika mazoezi ya timu hiyo yanayoendelea kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Dakika 270, Okwi amfunika Jaja
Siku kumi, kabla ya mchezo wa watani wa jadi, Yanga na Simba, mshambuliaji Genilson
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amewatetea nyota wake wawili kutoka Brazil, Andrey Coutinho, Santos Santana ‘Jaja’ kwa kusema ni wachezaji wazuri, na kama mnataka taarifa zao nendeni kwenye mtandao wa You Tube, mtaziona.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Jaja, Coutinho viwango shaka
Mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga, Zamoyoni Mogella ameishangaa Yanga kutumia fedha nyingi kusajili wachezaji wa Kibrazili wenye viwango vya kawaida.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1m8cWlE8EWGiGEgIvUxmEQSI6hkSTV7KsA23h4YVWMh8byHZRdNKa99v1gAJjGTyny8pfZQkQZjSj5-xEkpM4Y/jaja.jpg)
Jaja amvaa Coutinho mazoezini
Mshambuliaji wa Yanga,Genilson Santana Santos ‘Jaja’ Na Goodluck Ngai na Said Ally
WACHEZAJI wa timu ya Yanga, mshambuliaji Genilson Santana Santos ‘Jaja’ na kiungo Andrey Coutinho mwishoni mwa wiki iliyopita walijikuta wakiwa kwenye wakati wa kutoelewana baada ya mmoja kutegea.
Jaja na Coutinho ni wachezaji waliotua kuitumikia Yanga wakitokea nchini Brazil. Katika mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRlzcQ8FvQePU7zf1coBvLX5WivFImEeoRdvC8L16krwx6JJoXZazU6y-c1s6hnMmVKMw8zi4OZISrqct9Ulgkim/jaja.jpg)
Jaja, Coutinho waanza maisha Kariakoo
Mshambuliaji wa yanga Andrey Coutinho.
Na Mwandishi Wetu
UONGOZI wa Yanga umekamilisha kila kitu kuhusiana na nyumba watakayoishi washambuliaji wake Jaja na Coutinho raia wa Brazil eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jaja na Coutinho waliuomba uongozi wa Yanga waishi Kariakoo karibu na makao makuu ya klabu yao badala ya kupelekwa kwa ‘wanene’, Masaki au Oysterbay.Habari za uhakika zinasema tayari Yanga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppA5xhmXWQp*K2Gce9B27piAx0w8OfmwyUK4Qmix8HdIp0eM0o7yE*c49FQTzvUZTTOB4B514ss5TKah7mHSIVww/1.gif?width=650)
Jaja, Coutinho wapewa nyumba Uswazi
Mshambuliaji wa Yanga SC, Geilson Santana ‘Jaja’. Na Mwandishi Wetu
WACHEZAJI wawili wa Yanga, raia wa Brazil, wameushangaza uongozi wa klabu hiyo baada ya kusema wanataka kuishi eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Kiungo Andrey Coutinho na mshambuliaji Geilson Santana ‘Jaja’, wameuambia uongozi wa Yanga wasingependa kuishi sehemu ambazo zinajumuisha matajiri au zinazoonekana za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlSY4wfuKIdtsPs-d*iUYIecvp5G-bkVw4o2XjxXGQ3Vk2Hen85cwOieaFEOv0RgPhqQF9EfCyKtMK8nCmSti2hs/jaja.jpg)
Jaja, Coutinho wapewa siri kuiua Simba
Mshambuliaji wa Yanga, Geilson Santana 'Jaja'. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameonekana kupania timu yake iwafunge wapinzani wake Simba mabao mengi, baada ya kuonekana akiiongezea mbinu safu yake ya ushambuliaji kwenye mazoezi yake. Hiyo ni baada ya kuiona safu ya ulinzi ya watani wao wa jadi, Simba haipo imara kwenye mechi zake tatu mfululizo za Ligi Kuu Bara ilizozicheza.Safu… ...
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Vitu vya Coutinho, Jaja Uwanja wa Taifa kesho
TIMU ya Yanga kesho itashuka katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Thika Utd ya Kenya, ikiwa ni mara ya kwanza...
10 years ago
Vijimambo15 Dec
JAJA, COUTINHO, EMERSON WADHIHIRISHA SI KILA MBRAZIL ANAJUA KUCHEZA MPIRA…KIIZA BADO ‘KIDUME’
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/HMB_6496.jpg)
YANGA SC wamekuwa wateja wa Simba katika mechi mbili za ‘Nani Mtani Jembe’.Desemba 21 mwaka jana walifungwa mabao 3-1 na Mnyama Simba na jana walitandikwa mabao 2-0.Katika mechi ya jana, wachezaji wa kigeni wa Yanga walikuwa Emerson Oliveira, Andrey Coutinho, Kpah Sherman, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.Hamis Friday Kiiza tayari walishamtoa, lakini cha kuwashauri Yanga ni kufanya kila wawezalo kumbakisha Mganda huyu kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania