Jaja, Coutinho waanza maisha Kariakoo
![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRlzcQ8FvQePU7zf1coBvLX5WivFImEeoRdvC8L16krwx6JJoXZazU6y-c1s6hnMmVKMw8zi4OZISrqct9Ulgkim/jaja.jpg)
Mshambuliaji wa yanga Andrey Coutinho. Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Yanga umekamilisha kila kitu kuhusiana na nyumba watakayoishi washambuliaji wake Jaja na Coutinho raia wa Brazil eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Jaja na Coutinho waliuomba uongozi wa Yanga waishi Kariakoo karibu na makao makuu ya klabu yao badala ya kupelekwa kwa ‘wanene’, Masaki au Oysterbay.Habari za uhakika zinasema tayari Yanga...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Coutinho amfunika Jaja
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Jaja, Coutinho viwango shaka
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1m8cWlE8EWGiGEgIvUxmEQSI6hkSTV7KsA23h4YVWMh8byHZRdNKa99v1gAJjGTyny8pfZQkQZjSj5-xEkpM4Y/jaja.jpg)
Jaja amvaa Coutinho mazoezini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppA5xhmXWQp*K2Gce9B27piAx0w8OfmwyUK4Qmix8HdIp0eM0o7yE*c49FQTzvUZTTOB4B514ss5TKah7mHSIVww/1.gif?width=650)
Jaja, Coutinho wapewa nyumba Uswazi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlSY4wfuKIdtsPs-d*iUYIecvp5G-bkVw4o2XjxXGQ3Vk2Hen85cwOieaFEOv0RgPhqQF9EfCyKtMK8nCmSti2hs/jaja.jpg)
Jaja, Coutinho wapewa siri kuiua Simba
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Vitu vya Coutinho, Jaja Uwanja wa Taifa kesho
TIMU ya Yanga kesho itashuka katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Thika Utd ya Kenya, ikiwa ni mara ya kwanza...
10 years ago
Vijimambo15 Dec
JAJA, COUTINHO, EMERSON WADHIHIRISHA SI KILA MBRAZIL ANAJUA KUCHEZA MPIRA…KIIZA BADO ‘KIDUME’
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/HMB_6496.jpg)
YANGA SC wamekuwa wateja wa Simba katika mechi mbili za ‘Nani Mtani Jembe’.Desemba 21 mwaka jana walifungwa mabao 3-1 na Mnyama Simba na jana walitandikwa mabao 2-0.Katika mechi ya jana, wachezaji wa kigeni wa Yanga walikuwa Emerson Oliveira, Andrey Coutinho, Kpah Sherman, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.Hamis Friday Kiiza tayari walishamtoa, lakini cha kuwashauri Yanga ni kufanya kila wawezalo kumbakisha Mganda huyu kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Libeneke jipya la habari za Kariakoo ‘Kariakoo Digital’
Naomba kutambulisha kwenu tovuti mpya ya www.kariakootz.com inayofahamika kama Kariakoo Digital Ambayo imejikita katika kukusanya orodha ya maduka ya wafanyabiashara wa Kariakoo pamoja na bidhaa wanazouza, mawasiliano yao na mitaa wanayopatikana na kuyaweka sehemu moja ili kukupa urahisi wa kutafuta bidhaa unayohitaji.
Sasa unawaweza kuokoa muda na pesa zako kwa kutumia tovuti hii mpya ya www.kariakootz.com kupata orodha ya maduka mengi yanayouza bidhaa kariakoo kisha unaweza kuwasiliana...