Barnaba amshauri Lulu haya kuhusu uigizaji wa filamu
Barnaba Elias ameusifia uigizaji wa Elizabeth Michael aka Lulu lakini amemtaka kubadilika na kutafuta aina moja ya uigizaji ambao utakuwa unamtambulisha. Akizungumza na kipindi cha DJ Show cha Radio One, Barnaba alisema anapenda kuangalia filamu za kibongo na anashangaa kuona watu wanabeza kazi hizo. “Lulu anafanya vizuri lakini atambue anatakiwa kutafuta sehemu moja anayofiti, jinsi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 Apr
Mtunis Atoboa Haya Kuhusu Tasnia ya Filamu
Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘mtunis’ amesema kuwa tasnia ya uigizaji inahitaji umakini zaidi ili kujikosoa penye makosa. Alisema licha ya kwamba filamu zinadaiwa hazilipi hiyo siyo sababu yakutayarisha zisizokuwa na ubora.
Alifafanua hata wakongwe wanapoibua chipukizi wanapaswa kuzingatia wenye vipaji zaidi ili tasnia huyo iendelee kufanya vizuri .
Alieleza kuwa hakuna kitu kibaya kama mtu anayekuamini akikudharau harudi nyuma, hivyo kwa kuwa makini kutayarisha filamu bora na...
9 years ago
Bongo Movies10 Sep
JB Afunguka Haya Kuhusu Marehemu Adam Kuambiana na Ujio wa Filamu Mpya
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram staa wa Bongo Movies , Jacob Stephen ‘JB’ ameendelea kusifia kipaji cha sanaa alichokuwanacho marehenu Adam Kuambiana ambaye atakuwepo kwenye filamu mpya itakayotoka wiki ijayo inayokwenda kwa jina la mahabusi aliyoicheza kabla ya kufariki dunia.
“Moja kati ya waigizaji ambao sitaacha kuwasifia ingawa tayari ametangulia mbele za haki....Adam Kuambiana....ana sauti, ana hisia na anajua....Yeye pamoja na dada mmoja anayeitwa Bridgete. aliyewahi...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Makoye amshauri Maximo kuhusu Coutinho
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Msanii Lulu aitambulisha filamu yake mpya iitwayo Mapenzi ya Mungu, filamu yaingia sokoni leo
Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.
Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XeS23768VQ0/VLkRkt-hlPI/AAAAAAAAd8I/ZK13Oh9d-pA/s72-c/IMG-20150116-WA0007.jpg)
Filamu:Pata Filamu ya Lulu, Kupitia Mtandao
![](http://2.bp.blogspot.com/-XeS23768VQ0/VLkRkt-hlPI/AAAAAAAAd8I/ZK13Oh9d-pA/s1600/IMG-20150116-WA0007.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NJV-Jd9ufwc/VOq9Z0RJfNI/AAAAAAAHFUo/MVYthyVEZOc/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Julianne More na Eddie Redmayne washinda tuzo za uigizaji bora wa filamu za oscar
![](http://1.bp.blogspot.com/-NJV-Jd9ufwc/VOq9Z0RJfNI/AAAAAAAHFUo/MVYthyVEZOc/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-16oDS-ADdNQ/UwSQ0A5X6rI/AAAAAAAFN8w/PnMoML2K7Zo/s72-c/logo3.gif)
MAFUNZO YA BURE YA UIGIZAJI FILAMU NA UIMBAJI: RAFIKI ELIMU MUSIC & FILM ACADEMY
![](http://4.bp.blogspot.com/-16oDS-ADdNQ/UwSQ0A5X6rI/AAAAAAAFN8w/PnMoML2K7Zo/s1600/logo3.gif)
10 years ago
VijimamboMSANII LULU AITAMBULISHA FILAMU YAKE MPYA IITWAYO MAPENZI YA MUNGU LEO.FILAMU YAINGIA SOKONI LEO