Awasha moto kituo cha petroli kwa kuogopa buibui
Mwanamume mmoja raia wa Marekani amewastaajibisha wengi baada ya kuwasha moto kituo cha kuuzia mafuta ya petroli eti anachoma buibui.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTransfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-kE91SlGXns0/VLkDLPvTDSI/AAAAAAAG9zc/EPpxlsoj2l4/s640/IMG-20150116-WA0002.jpg)
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZ.....: Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-kE91SlGXns0/VLkDLPvTDSI/AAAAAAAG9zc/EPpxlsoj2l4/s640/IMG-20150116-WA0002.jpg)
Washuhuda wakiangalia Mtambo huo unavyoendelea kuteketea kwa moto mchana huu.
11 years ago
Habarileo10 Apr
Kituo cha Radio chateketea kwa moto
KITUO cha kurusha matangazo ya radio cha dini ya Kiislamu cha Alnoor kimeteketea kwa moto ikiwemo studio zake tatu. Mkurugenzi mkuu wa Radio Alnoor, Mohamed Suleiman Tall, alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambayo alisema chanzo chake kikubwa ni hitilafu ya moto katika kituo kikuu cha umeme.
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi wavamia kituo cha polisi, wachoma moto magari manne, wafunga barabara kwa saa 5
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Pluijm awasha moto
*Awajia juu mastraika wake, Ngoma arejea kuiua African Sports
HASSAN BUMBULI NA OSCAR ASSENGA, TANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema kurejea kwa mshambuliaji Donald Ngoma kutaongeza matumaini ya ushindi kwa kuwa nyota huyo ana uwezo wa kufiti kwenye kombinesheni mbili muhimu alizoziunda.
Kurejea na straika huyo Mzimbabwe ambaye ni mkali wa kupachika mabao kunaweza kumaliza tatizo la ubutu wa safu ya ushambuliaji iliyoonekana juzi katika mechi dhidi ya Mgambo Shooting...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mbowe awasha moto Kalenga
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema hawako tayari Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itumie daftari la wapiga kura Jimbo la Kalenga lililochakachuliwa wakidai kwamba ...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Zitto awasha moto Chadema
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ojo6ZIAp-S0/Vga2S7HV14I/AAAAAAAAocA/wRctY5PxDZc/s72-c/1.jpg)
MAGUFULI AWASHA MOTO SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ojo6ZIAp-S0/Vga2S7HV14I/AAAAAAAAocA/wRctY5PxDZc/s640/1.jpg)
Alisema pia kuwa Serikali yake itakuwa rafiki wa sekta binafsi na kuwajengea uwezo wafanya biashara ndogo ndogo ili waweze kujiendeleza.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YfGNfae_fV0/Vga2zO3LojI/AAAAAAAAod4/ZXya-LTbnJs/s640/4.jpg)