Mbowe awasha moto Kalenga
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema hawako tayari Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itumie daftari la wapiga kura Jimbo la Kalenga lililochakachuliwa wakidai kwamba ...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Pluijm awasha moto
*Awajia juu mastraika wake, Ngoma arejea kuiua African Sports
HASSAN BUMBULI NA OSCAR ASSENGA, TANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema kurejea kwa mshambuliaji Donald Ngoma kutaongeza matumaini ya ushindi kwa kuwa nyota huyo ana uwezo wa kufiti kwenye kombinesheni mbili muhimu alizoziunda.
Kurejea na straika huyo Mzimbabwe ambaye ni mkali wa kupachika mabao kunaweza kumaliza tatizo la ubutu wa safu ya ushambuliaji iliyoonekana juzi katika mechi dhidi ya Mgambo Shooting...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Zitto awasha moto Chadema
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ojo6ZIAp-S0/Vga2S7HV14I/AAAAAAAAocA/wRctY5PxDZc/s72-c/1.jpg)
MAGUFULI AWASHA MOTO SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ojo6ZIAp-S0/Vga2S7HV14I/AAAAAAAAocA/wRctY5PxDZc/s640/1.jpg)
Alisema pia kuwa Serikali yake itakuwa rafiki wa sekta binafsi na kuwajengea uwezo wafanya biashara ndogo ndogo ili waweze kujiendeleza.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YfGNfae_fV0/Vga2zO3LojI/AAAAAAAAod4/ZXya-LTbnJs/s640/4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pygbhdqFYxDQT77u-egloJDkLq*rhjx9VL0gN6C1HtL5rphs7Lgf47Lsc7-oQ2Sc49wSTHUY0pgH9rRNRJQbKCpg/ligolabungeni.jpg)
KANGI LUGOLA AWASHA MOTO BUNGENI
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Profesa Kabudi awasha moto Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Profesa Lipumba ‘awasha moto’ wa Katiba Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Awasha moto kituo cha petroli kwa kuogopa buibui
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RYKaHZPDsRI/U204F-9ed2I/AAAAAAACgpk/NtCH_bwjkXM/s72-c/13.jpg)
KINANA AWASHA MOTO IGUNGA,AWAMWAGIA SIFA LUKUKI VIONGOZI VIJANA WA WILAYA HIYO KWA UBUNIFU WA MIRADI YA VIJANA YA KUJIKWAMUA NA UMASKINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RYKaHZPDsRI/U204F-9ed2I/AAAAAAACgpk/NtCH_bwjkXM/s1600/13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-habGae4_mPI/U204ZANRrgI/AAAAAAACgps/bMN7gAgwMI4/s1600/14.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 May
Mbowe: Moto utawaka uchanguzi ukiahirishwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbowe-13May2015.jpg)
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeonya kuwa, uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba, mwaka huu ukiahirishwa nchi itawaka moto.
Kambi hiyo imeituhumu serikali kuchelewesha kukamilisha usajili wa watu kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura licha ya tarehe ya kupiga kura kufahamika.
Kiongozi wa Kambi hiyo, Freeman Mbowe, alisema bungeni jana kuwa, kitendo hicho kina malengo na nia mbaya ya kutaka kuongezea muda wa utawala wa Rais...