Mbowe: Moto utawaka uchanguzi ukiahirishwa.
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe.
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeonya kuwa, uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba, mwaka huu ukiahirishwa nchi itawaka moto.
Kambi hiyo imeituhumu serikali kuchelewesha kukamilisha usajili wa watu kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura licha ya tarehe ya kupiga kura kufahamika.
Kiongozi wa Kambi hiyo, Freeman Mbowe, alisema bungeni jana kuwa, kitendo hicho kina malengo na nia mbaya ya kutaka kuongezea muda wa utawala wa Rais...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Jan
Sitta: Moto wa Mwakyembe utawaka zaidi
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema ataendelea kuwavalia njuga watu waliodhani kuwa maji yanapoa, baada ya Dk Harrison Mwakyembe kuondolewa katika wizara hiyo katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, yaliyofanyika hivi karibuni.
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mbowe awasha moto Kalenga
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema hawako tayari Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itumie daftari la wapiga kura Jimbo la Kalenga lililochakachuliwa wakidai kwamba ...
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
MBOWE ASEMA MOTO WA KUDAI KATIBA MPYA HAUZIMIKI
10 years ago
VijimamboMAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA
11 years ago
Michuziutumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha
10 years ago
GPL15 Jan
10 years ago
MichuziMISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
Kutoka kushoto ni Maria Rutayuga kuotoka Maryland, Jesca Kalemera kutoka New Jersey, Mercy Sukaya kutoka Michigan na Grace Mlingi kutaoka Maryland. Washiriki wakimsikiliza mmoja ya waratibu alipokua akiwaelekeza jambo kwenye hotel waliyofikia ya Double Tree iliyopo Dwntown Silver Spring.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
GPLMISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
10 years ago
MichuziDiamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach