Sitta: Moto wa Mwakyembe utawaka zaidi
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema ataendelea kuwavalia njuga watu waliodhani kuwa maji yanapoa, baada ya Dk Harrison Mwakyembe kuondolewa katika wizara hiyo katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, yaliyofanyika hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 May
Mbowe: Moto utawaka uchanguzi ukiahirishwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbowe-13May2015.jpg)
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeonya kuwa, uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba, mwaka huu ukiahirishwa nchi itawaka moto.
Kambi hiyo imeituhumu serikali kuchelewesha kukamilisha usajili wa watu kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura licha ya tarehe ya kupiga kura kufahamika.
Kiongozi wa Kambi hiyo, Freeman Mbowe, alisema bungeni jana kuwa, kitendo hicho kina malengo na nia mbaya ya kutaka kuongezea muda wa utawala wa Rais...
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Sitta amgeuka Dk. Mwakyembe
SHABANI MATUTU NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Madeni Kipande, kwa tuhuma za utendaji mbovu, uliosababisha malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali.
Sitta amechukua uamuzi huo jana jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu uamuzi huo ambao umefikiwa baada ya kufanyika kwa kikao cha dharura cha Bodi ya Mamlaka ya Bandari kilichofanyika hivi...
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Fagio la Mwakyembe kule Uchukuzi, Sitta umeliona au…
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-FjsMW6f2LSM/VmdzfuvoWGI/AAAAAAAAXX0/pM2WEqq5XJU/s72-c/Pg-4.jpg)
KAMA KWELI SERIKALI INATAKA KUTIBU MAJIPU IWEKE WAZI RIPOTI ZA MWAKYEMBE NA SITTA - MNYIKA
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Sitta akalia moto
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amejiweka katika wakati mgumu kwa kuzua mgogoro mpya dhidi ya viongozi wa dini ya Kikristo, baada ya kuita waraka wao kuwa ni...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Sitta aahidi nafasi zaidi kwa makundi maalumu
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Zaidi ya 500 wajeruhiwa na moto Taiwan
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6vSA_IzIFu4/VAwaLS9o9xI/AAAAAAAGgyg/EsQWrUtV_LE/s72-c/unnamed.jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS JAKAYA M.KIKWETE NA WAZIRI WA UCHUKUZI MHE MWAKYEMBE NA MKUU WA MKOA WA MARA KWA AJALI MBAYA YA BASI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA ZAIDI YA 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-6vSA_IzIFu4/VAwaLS9o9xI/AAAAAAAGgyg/EsQWrUtV_LE/s1600/unnamed.jpg)
Chama cha Ujenzi wa Taifa cha NRA ,(National Reconstruction Alliance); kinatoa salamu za pole/rambirambi kwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mhe Jakaya Kikwete, Waziri za Uchukuzi, Mkuu wa mkoa wa Mara na Wafiwa kwa ajali mbaya ya Basi iliyopelekea kupotea kwa maisha ya watanzania zaidi ya 40, akiongea kwa njia ya simu akiwa katika ziara ya kikazi mkoani kigoma Naibu KATIBU MKUU NA KATIBU MKUU wa BODI ya chama Mhe Hassan Kisabya (pichani) , ametoa salamu hizo kwa niaba ya Chama...