Sitta amgeuka Dk. Mwakyembe
SHABANI MATUTU NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Madeni Kipande, kwa tuhuma za utendaji mbovu, uliosababisha malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali.
Sitta amechukua uamuzi huo jana jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu uamuzi huo ambao umefikiwa baada ya kufanyika kwa kikao cha dharura cha Bodi ya Mamlaka ya Bandari kilichofanyika hivi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Jan
Sitta: Moto wa Mwakyembe utawaka zaidi
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema ataendelea kuwavalia njuga watu waliodhani kuwa maji yanapoa, baada ya Dk Harrison Mwakyembe kuondolewa katika wizara hiyo katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, yaliyofanyika hivi karibuni.
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Fagio la Mwakyembe kule Uchukuzi, Sitta umeliona au…
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-FjsMW6f2LSM/VmdzfuvoWGI/AAAAAAAAXX0/pM2WEqq5XJU/s72-c/Pg-4.jpg)
KAMA KWELI SERIKALI INATAKA KUTIBU MAJIPU IWEKE WAZI RIPOTI ZA MWAKYEMBE NA SITTA - MNYIKA
10 years ago
Vijimambo04 Oct
Maximo amgeuka Ngassa Yanga
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2473816/highRes/843142/-/maxw/600/-/uf3jb0z/-/maxi.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Oct
Mtoto wa Kingunge amgeuka baba yake
MTOTO wa mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru, Kunje amempinga baba yake na kusema kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote kwa kushirikiana na Ukawa kama ambavyo wamekuwa wakijinadi.