Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta akalia moto

MWENYEKITI  wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amejiweka katika wakati mgumu kwa kuzua mgogoro mpya dhidi ya viongozi wa dini ya Kikristo, baada ya kuita waraka wao kuwa ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sitta: Moto wa Mwakyembe utawaka zaidi

Waziri wa Uchukuzi, Samuel SittaWAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema ataendelea kuwavalia njuga watu waliodhani kuwa maji yanapoa, baada ya Dk Harrison Mwakyembe kuondolewa katika wizara hiyo katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, yaliyofanyika hivi karibuni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diwani Kiwira akalia kuti kavu

DIWANI wa Kata ya Kiwira wilayani Rungwe Mbeya, Raulent Mwakalebule  (CHADEMA), amewekwa kiti moto na madiwani wa kambi ya upinzani baada ya kupingana na uamuzi wa Umoja wa Katiba ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge akalia kuti kavu Mbinga

Wafanyabiashara wilayani hapa, wametishia kutomchagua Mbunge wa Jimbo la Mbinga Mashariki, Gaudence Kayombo kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba kwa kile walichodai ameshindwa kuwatetea bungeni na badala yake ameunga mkono ongezeko la kodi la asilimia 100.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr akalia kuti kavu Simba

Siku za kocha Dylan Kerr meanza kuhesabika ndani ya Simba kutokana na mwenendo wa kusuasua wa timu hiyo katika Ligi Kuu Bara.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mkandarasi Muleba akalia kuti kavu


Na Julieth John, Muleba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, kumsimamisha mkandarasi anayejenga miradi ya maji ya Kyota na Katoke kwa kushindwa kukamilisha kazi kwa muda uliopangwa.
Mradi huo wa maji ni miongoni mwa miradi inayotekelezwa kupitia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Agizo hilo lilitolewa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera, Costansia Buhiye, wakati alipokuwa akikagua miradi hiyo ambayo ilitakiwa kukamilika  Oktoba, mwaka jana na Mei mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pandu Kificho akalia kuti kavu 

SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kubaini kuwa kina wakati mgumu katika mijadala na upitishaji wa vifungu vya rasimu ya katiba, kimeanza kutafuta mchawi. Tayari chama hicho kimeshamshika...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI MARUFUKU MGAO WA UMEME, ABUBAKARI AKALIA KUTI KAVU

Waziri wa Nishati Dkt Medadi Kalemani akikagua miundombinu ya Dalaja la mto Kilombero kabla ya kufika katika kituo cha kuzalisha umeme cha kidatu Mkoani Morogoro.Waziri wa nishati Dkt Medard Kalemani akiwa na mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe Richard Kasesela alipofanya ziara katika bwawa la Mtera.Waziri wa Nishati Dkt Medadi Kalemani akikagua mitambo katika kituo cha kuzalishia umeme cha kidatu Mkoani Morogoro,akiwa katika ziara yake ya kukagua vituo vya kuzarisha umeme hapa nchini.Waziri wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA

Mabaki ya nyumba yaliyoteketezwa kwa moto na wafugaji wa kimasaii wakidai eneo la malisho yao.(picha: Elias Kija, Siha, Kilimanjaro)Jeshi la Polisi likiwa limeimarisha ulinzi katika kijiji cha Miti-Mirefu wilayani Siha. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiliangalia mojawapo la gari la mwekezaji lililochomwa moto katika eneo la Ndarakwai. Mwekezaji wa eneo la Ndarakwai wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Peter Jones akizungumza na wanahabari katika eneo la tukio.Kwa picha na maelezo...

 

11 years ago

Michuzi

utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha

Zile habari zilizosambaa kwenye mitandao  ya kijamii  kuonesha  kwamba hotel ya Naura Spring ya jijini Arusha inawaka moto zilikuwa si za kweli ni watu wametengeza picha hizo ambazo zilikuwa zimeenea kila pembe.Kamanda wa Polisi Arusha Liberatus Sabas ameongea jioni hii na vyombo vya habari na kukanusha habari za hotel hiyo ya kitalii jijini Arusha kwamba iliwaka moto hizo ni picha za kutengeneza hotel ipo salama kabisa kama unavyoona kwenye picha ya juu. Picha ya chini yake ndiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani