Mkandarasi Muleba akalia kuti kavu
Na Julieth John, Muleba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, kumsimamisha mkandarasi anayejenga miradi ya maji ya Kyota na Katoke kwa kushindwa kukamilisha kazi kwa muda uliopangwa.
Mradi huo wa maji ni miongoni mwa miradi inayotekelezwa kupitia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Agizo hilo lilitolewa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera, Costansia Buhiye, wakati alipokuwa akikagua miradi hiyo ambayo ilitakiwa kukamilika Oktoba, mwaka jana na Mei mwaka...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mbunge akalia kuti kavu Mbinga
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Diwani Kiwira akalia kuti kavu
DIWANI wa Kata ya Kiwira wilayani Rungwe Mbeya, Raulent Mwakalebule (CHADEMA), amewekwa kiti moto na madiwani wa kambi ya upinzani baada ya kupingana na uamuzi wa Umoja wa Katiba ya...
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Kerr akalia kuti kavu Simba
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1puIwZd_2Fs/XnYXA7zwT6I/AAAAAAALkp8/aIgRbTO8qNU33ytKjYOofUyrbUvsRTPmQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B03.jpg)
WAZIRI WA NISHATI MARUFUKU MGAO WA UMEME, ABUBAKARI AKALIA KUTI KAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-1puIwZd_2Fs/XnYXA7zwT6I/AAAAAAALkp8/aIgRbTO8qNU33ytKjYOofUyrbUvsRTPmQCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B03.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-F97bNPqg6_4/XnYXCeofDCI/AAAAAAALkqE/dl-phO18VCUKSm9YbU-y1hnCuuHB3zA6ACLcBGAsYHQ/s640/pix%2B01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vt4RwkT464A/XnYXCIRcfWI/AAAAAAALkqA/GMcrVziagW427dhn21niespgtyccix1jwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CMTWe-JVi2U/XnYXA3LwJKI/AAAAAAALkp4/q82QCXZYb50_4lNLwAXsgeE7tj88lUPMACLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B02%2Bb.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Pandu Kificho akalia kuti kavuÂ
SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kubaini kuwa kina wakati mgumu katika mijadala na upitishaji wa vifungu vya rasimu ya katiba, kimeanza kutafuta mchawi. Tayari chama hicho kimeshamshika...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Nyota wa kigeni wakalia kuti kavu
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Viongozi Manyara, Kiteto wakalia kuti kavu
10 years ago
Habarileo12 Mar
Wapindisha sheria Ardhi wakalia kuti kavu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewatahadharisha watendaji wanaorubuniwa na watu wenye fedha ili kupindisha sheria kwa lengo la kuwadhulumu wananchi ardhi zao.
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
CHADEMA waibwaga Serikali, wabunge wakalia kuti kavu
ALIYEKUWA Mgombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, (EALA), kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Anthony Komu, ameibwaga Serikali kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Afrika Mashariki, (EACJ),...