Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pandu Kificho akalia kuti kavu 

SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kubaini kuwa kina wakati mgumu katika mijadala na upitishaji wa vifungu vya rasimu ya katiba, kimeanza kutafuta mchawi. Tayari chama hicho kimeshamshika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mbunge akalia kuti kavu Mbinga

Wafanyabiashara wilayani hapa, wametishia kutomchagua Mbunge wa Jimbo la Mbinga Mashariki, Gaudence Kayombo kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba kwa kile walichodai ameshindwa kuwatetea bungeni na badala yake ameunga mkono ongezeko la kodi la asilimia 100.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani Kiwira akalia kuti kavu

DIWANI wa Kata ya Kiwira wilayani Rungwe Mbeya, Raulent Mwakalebule  (CHADEMA), amewekwa kiti moto na madiwani wa kambi ya upinzani baada ya kupingana na uamuzi wa Umoja wa Katiba ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mkandarasi Muleba akalia kuti kavu


Na Julieth John, Muleba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, kumsimamisha mkandarasi anayejenga miradi ya maji ya Kyota na Katoke kwa kushindwa kukamilisha kazi kwa muda uliopangwa.
Mradi huo wa maji ni miongoni mwa miradi inayotekelezwa kupitia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Agizo hilo lilitolewa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera, Costansia Buhiye, wakati alipokuwa akikagua miradi hiyo ambayo ilitakiwa kukamilika  Oktoba, mwaka jana na Mei mwaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr akalia kuti kavu Simba

Siku za kocha Dylan Kerr meanza kuhesabika ndani ya Simba kutokana na mwenendo wa kusuasua wa timu hiyo katika Ligi Kuu Bara.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI MARUFUKU MGAO WA UMEME, ABUBAKARI AKALIA KUTI KAVU

Waziri wa Nishati Dkt Medadi Kalemani akikagua miundombinu ya Dalaja la mto Kilombero kabla ya kufika katika kituo cha kuzalisha umeme cha kidatu Mkoani Morogoro.Waziri wa nishati Dkt Medard Kalemani akiwa na mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe Richard Kasesela alipofanya ziara katika bwawa la Mtera.Waziri wa Nishati Dkt Medadi Kalemani akikagua mitambo katika kituo cha kuzalishia umeme cha kidatu Mkoani Morogoro,akiwa katika ziara yake ya kukagua vituo vya kuzarisha umeme hapa nchini.Waziri wa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Pandu Kificho ametusaliti’

>Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho amekiri kuwasilisha waraka kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba na kupendekeza Zanzibar na Tanganyika kuwa na mamlaka huru, hatua ambayo imezua malalamiko miongoni mwa makada wa chama hicho ambao wamesema huo ni usaliti.

 

11 years ago

IPPmedia

Pandu Ameir Kificho


IPPmedia
Pandu Ameir Kificho
IPPmedia
The opposition camp yesterday scored some marks in the Constituent Assembly after the Assembly accepted to dissolve its steering committee. In a hushed announcement, Deputy CA Chairperson Samia Suluhu Hassan said that Chairperson Samuel Sitta ...

 

11 years ago

TheCitizen

Pandu Kificho elected interim Constititional Assembly Chairman

Constituent Assembly members yesterday elected the Zanzibar House of Representatives Speaker, Mr Pandu Ameir Kificho as the interim chairman.

 

11 years ago

Michuzi

Mhe.Pandu Ameir Kificho ndiye Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba.


Bunge Maalumu la Katiba limemchagua Mhe. Pandu  Ameir Kificho (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba. Katika uchaguzi wa nafasi hiyo uliofanyika  kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, Mh.Kificho ameshinda kwa Kura 393 sawa na Asilimia 69.Washindani wengine, Bi.Magret na Mhe.Mahalu wamepata Kura 84 kila mmoja sawa na Asilimia 15.79%. Akitangaza matokeo hayo Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashililah alisema Mhe. Kificho ameshinda baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani