BREAKING NYUZZZZZ.....: Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto
Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa likiteketea kwa moto mchana baada ya kulipuka ghafla,chanzo kilichepekea kulipuka kwa Transfoma hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa na hali hiyo itapelekea baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mbeya na Njombe kuwa gizani kwa muda.Taarifa zaidi zitawajia baadae kidogo.
Washuhuda wakiangalia Mtambo huo unavyoendelea kuteketea kwa moto mchana huu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTransfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-kE91SlGXns0/VLkDLPvTDSI/AAAAAAAG9zc/EPpxlsoj2l4/s640/IMG-20150116-WA0002.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5DgDmEiKsdltOGiBJBOY05FrG-5JQAeIke0npnynwdFc37terdWZ-eWY-gJrovIe5jSabu4lXYyqcC5I*RuAWrb/IMG20150116WA0026001.jpg)
TRANSFOMA LALIPUKA NA KUTEKETEA KWA MOTO ENEO LA MGOLOLO, IRINGA
Wananchi wakishuhudia janga la moto uliozuka mara baada ya transfoma la kituo kikuu cha umeme Mgololo, Iringa kulipuka ghafla na kuteketea. Moto ukizidi kuteketeza transfoma hilo.
TRANSFOMA la kituo kikuu…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCJjE4najr9bCzxEfpLHWJYpa8sHvxa3iQXBKhWphJ3HUGnCtO3BZ1S6mQPm*aDI536ksKGoBNNs4VV72Yl8zq4G/moto1.jpg?width=650)
MOTO WATEKETEZA KITUO CHA KUPOZEA UMEME CHA MJINI MOSHI
Askari wa kikosi cha Zimamoto wakifika eneo la tukio. Wananchi wakishuhudia juhudi za kuzima moto.
Moto ukiendelea.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TtzphOW4VFE/U-73WEFvswI/AAAAAAAF_-4/0eM5uKKbZiQ/s72-c/5c613b59a6c16d60985faae9e412a6e2.jpg)
news alert: Moto wateketeza kituo cha kupozea umeme cha mjini Moshi asubuhi hii
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. Transforma zinazosambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi Mkoani Kilimanjaro zilizoko eneo la Bomambuzi zimewaka moto asubuhi hii muda mfupi baada ya kutokea shoti ambayo haijafahamika chanzo chake ni nini. Moto huo umetokea majira ya saa 1:10 na kusababisha maeneo kadhaa ya mji wa Moshi kukosa umeme hadi sasa. Globu ya jamii imeshuhudia kikosi cha zimamoto kutoka manispaa ya moshi kikijaribu kuzima moto huo ambao hata...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zSHAgTatLuI/XooC40NRpxI/AAAAAAALmHY/zNslRSz1th86nvpZM_IQGReW9_PbtlnygCLcBGAsYHQ/s72-c/35239afa-4ae5-4dcd-be68-f2560a84c510.jpg)
Simba Jamii Tanzania latoa msaada tanki la maji na kifaa cha kuzalisha umeme kituo cha kulelea watoto Yatima mkoani Morogoro
Mnamo tarehe 04 April 2020 kundi la Simba Jamii Tanzania " Ultras" lilikabidhi zawadi ya tank la maji la lita 2,000 pamoja na kifaa cha kuzalisha umeme Jua (Solar) kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Ukhty Raya kilichopo eneo la Mindu mkoani Morogoro.
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
11 years ago
Michuzi12 Feb
BREAKING NEWS;KITUO CHA POLISI MOSHI KINAWAKA MOTO
TAARIFA ZA UHAKIKA ZILIZOTUFIKIA KATIKA CHUMBA CHA HABARI YA GLOBU YA JAMII HIVI PUNDE,ZINAELEZA KUWA KITUO CHA POLISI MOSHI MKOANI KILIMANJARO KINAWAKA MOTO,AIDHA MPAKA SASA CHANZO CHA MOTO HUO BADO HAKIJAJULIKANA.
HABARI ZAIDI TUTAZIDI KUWALETEA KADIRI YA ZITAKAVYOKUWA ZIKIINGIA.
HABARI ZAIDI TUTAZIDI KUWALETEA KADIRI YA ZITAKAVYOKUWA ZIKIINGIA.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-30fHWSVpUrM/VA3LTT6fTrI/AAAAAAAGiAY/PqQZRTStY0c/s72-c/IMG-20140908-WA0012.jpg)
Breaking nyuzzzzz......Mahakama yaamuru kaburi la mume kufukuliwa kwa pingamizi la mke mkubwa dhidi ya mdogo kijiji cha mandaka wilaya ya moshi vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-30fHWSVpUrM/VA3LTT6fTrI/AAAAAAAGiAY/PqQZRTStY0c/s1600/IMG-20140908-WA0012.jpg)
Na Dixon Busagaga wa Globu
ya Jamii Kanda ya Kaskazini
Uamuzi wa kufukuliwa kwa kaburi hilo umefikiwa baada ya mke anayedaiwa kuwa ni wa ndoa wa marehemu Stephen Assey, Bi. Lucy Laurant kwenda mahakamani kuweka zuio la kuzikwa kwa marehemu katika eneo ilipo nyumba aliyokuwa akiishi na mke mdogo aliyefahamika kwa jina la Fortinata...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania