Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ahmadiyya yasaidia vyakula wajane 80

TAASISI ya Jumuiya ya Kiislamu ya Ahmadiyya juzi ilitoa msaada wa vyakula kwa wajane 80 wa Kata ya Viwandani Manispaa ya Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SIKU YA WAJANE DUNIANI, ZAIDI YA WAJANE MILIONI 250 WANAISHI KATIKA DIMBWI LA UMASIKINI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wajane katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Aprili nne, 2019.
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVKUPOTEZA wenza ni jambo linalovunja mioyo ya wanawake wengi duniani hasa kwa nchi zinazoendelea, wajane katika nchi hizo wamekuwa na muendelezo wa kutafuta mahitaji yao muhimu, haki zao pamoja na utu ambapo katika baadhi ya tamaduni nyingi za kiafrika huwachukulia wajane kwa namna ya tofauti ikiwemo kurithiwa na ndugu wa mume na...

 

10 years ago

Habarileo

Ahmadiyya kuendesha kongamano la amani

JUMUIYA ya Ahmadiyya Muslim Jamaat (AHMADIYYA), Kanda ya Kati itafanya kongamano la kudumisha na kuilinda amani ya Tanzania ambayo inayoashiria kutaka kuchafuliwa na watu wachache.

 

9 years ago

GPL

JUMUIYA YA AHMADIYYA WAANDAA MKUTANO

Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislam, Seif Hassan, Tahir Mahmood na Katibu Msaidizi, Abdulrahman Ame anayezungumza. Wakisikiliza maswali kutoka kwa wana habari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu ya ardhi yawaliza wajane

WAJANE katika Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro wameangua kilio mbele ya uongozi wa taasisi na asasi ya maendeleo ya elimu na maarifa ya Greenbelt Schools Trust Fund (GSTF) baada...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWAFUTA MACHOZI WAJANE

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Grace Mwangwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kwa niaba ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Wajane Duniani ambayo huadhimishwa kila Juni 23. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Mtoto, Mwajuma Magwiza na kulia ni Mkurugenzi wa Chama cha Wajane Tanzania (TAWIA) Rose Sarwatt.

Mkurugenzi wa Chama...

 

11 years ago

Habarileo

Wajane wadhulumiwa kwa kuogopa kulogwa

WANAWAKE wajane wanaodhulumiwa mali baada ya kufiwa na waume zao wilayani Kyela, wamedaiwa kutofuata hatua za kisheria kwa kuogopa kurogwa na kudhalilisha ukoo.

 

10 years ago

GPL

SIKU YA WAJANE DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Jinsia Wanawake na Watoto, Anna Maembe  akihojiwa na wanahabri baada ya maadhimisho kumalizika. Baadhi ya sehemu walipokaa akina mama waliohudhuria maadhimisho hayo katika Viwanja vya Mashujaa Mnazi Mmoja.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajane wengi wafa kwa kukosa haki

BAADHI ya wanawake katika kata ya Magubike na Maguha, wilayani Kilosa, Morogoro, wamesema  wanawake wengi  wajane  hufariki mapema  kutokana na kukosa haki ya kumiliki mali ikiwemo ardhi wanapofiwa na waume...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wanaodai fedha kwa wajane waonywa

MWENYEKITI wa halmashauri ya mji wa Masasi ambaye pia ni Diwani wa kata ya Nyasa, Andrew Mtumusha ametoa onyo kwa watendaji wa kata, mtaa wenye tabia ya kudai malipo kutoka kwa vikundi vya wajasiriamali wajane pale vikundi hivyo vinapohitaji huduma ikiwemo ya kupitishiwa mihtasari yao ya benki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani