Ahmadiyya yasaidia vyakula wajane 80
TAASISI ya Jumuiya ya Kiislamu ya Ahmadiyya juzi ilitoa msaada wa vyakula kwa wajane 80 wa Kata ya Viwandani Manispaa ya Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QDA_Hder4FI/XvHBvs1hMmI/AAAAAAALvCY/-DPixU5G2-ASyW6B1KVYIWC2V-R_7sUegCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault%25280%2529.jpg)
SIKU YA WAJANE DUNIANI, ZAIDI YA WAJANE MILIONI 250 WANAISHI KATIKA DIMBWI LA UMASIKINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QDA_Hder4FI/XvHBvs1hMmI/AAAAAAALvCY/-DPixU5G2-ASyW6B1KVYIWC2V-R_7sUegCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault%25280%2529.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVKUPOTEZA wenza ni jambo linalovunja mioyo ya wanawake wengi duniani hasa kwa nchi zinazoendelea, wajane katika nchi hizo wamekuwa na muendelezo wa kutafuta mahitaji yao muhimu, haki zao pamoja na utu ambapo katika baadhi ya tamaduni nyingi za kiafrika huwachukulia wajane kwa namna ya tofauti ikiwemo kurithiwa na ndugu wa mume na...
10 years ago
Habarileo07 May
Ahmadiyya kuendesha kongamano la amani
JUMUIYA ya Ahmadiyya Muslim Jamaat (AHMADIYYA), Kanda ya Kati itafanya kongamano la kudumisha na kuilinda amani ya Tanzania ambayo inayoashiria kutaka kuchafuliwa na watu wachache.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Kutoka-kushoto-ni-KATIBU-MKUU-WA-JUMUIYA-YA-WAISLAM-SEIF-HASSAN-MISSIONARY-INCHARGE-TAHIR-MAHMOOD-NA-KATIBU-MSAIDIZI-ABDULRAHMAN-AME.jpg)
JUMUIYA YA AHMADIYYA WAANDAA MKUTANO
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Elimu ya ardhi yawaliza wajane
WAJANE katika Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro wameangua kilio mbele ya uongozi wa taasisi na asasi ya maendeleo ya elimu na maarifa ya Greenbelt Schools Trust Fund (GSTF) baada...
5 years ago
MichuziSERIKALI YAWAFUTA MACHOZI WAJANE
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-28.jpg)
Mkurugenzi wa Chama...
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wajane wadhulumiwa kwa kuogopa kulogwa
WANAWAKE wajane wanaodhulumiwa mali baada ya kufiwa na waume zao wilayani Kyela, wamedaiwa kutofuata hatua za kisheria kwa kuogopa kurogwa na kudhalilisha ukoo.
10 years ago
GPLSIKU YA WAJANE DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wajane wengi wafa kwa kukosa haki
BAADHI ya wanawake katika kata ya Magubike na Maguha, wilayani Kilosa, Morogoro, wamesema wanawake wengi wajane hufariki mapema kutokana na kukosa haki ya kumiliki mali ikiwemo ardhi wanapofiwa na waume...
10 years ago
Habarileo18 Jan
Viongozi wanaodai fedha kwa wajane waonywa
MWENYEKITI wa halmashauri ya mji wa Masasi ambaye pia ni Diwani wa kata ya Nyasa, Andrew Mtumusha ametoa onyo kwa watendaji wa kata, mtaa wenye tabia ya kudai malipo kutoka kwa vikundi vya wajasiriamali wajane pale vikundi hivyo vinapohitaji huduma ikiwemo ya kupitishiwa mihtasari yao ya benki.