Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ahmadiyya kuendesha kongamano la amani

JUMUIYA ya Ahmadiyya Muslim Jamaat (AHMADIYYA), Kanda ya Kati itafanya kongamano la kudumisha na kuilinda amani ya Tanzania ambayo inayoashiria kutaka kuchafuliwa na watu wachache.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU TAMISEMI AWAASA WANASIASA,WAGOMBEA NA WASHABIKI KUENDESHA KAMPENI KWA AMANI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Daftari la Wapiga Kura linalotumika kuandikisha wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kushoto ni Mratibu wa Uchaguzi huo Bw. Denis Bandisa.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...

 

10 years ago

GPL

WAISLAM, WAKRISTO WAFANYA KONGAMANO LA AMANI

Katibu Mkuu wa Jopo la Mashehe Tanzania, Sheikh Hamis Mtaka akihutubia. Askofu wa EAGT, Philbert Mbepera akisisitiza jambo.…

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini kuzindua kongamano la amani Mwanza

Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani, Askofu Chalres SekelwaVIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini jijini hapa wanatarajiwa kuzindua Kongamano la Amani la siku moja linalotarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Furahisha vilivyopo jijini hapa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la GPF laandaa kongamano kubwa la vijana la kujadili amani, kufanyika Zanzibar kuanzia julai 12, 2015


Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Global Peace Foundation (GPF), Arnold Kashembe.2

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Global Peace Foundation (GPF), Arnold Kashembe (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kongamano kubwa la vijana  litakalofanyika Zanzibar kwa kipindi cha mwezi mzima kuanzia Julai 12 mwaka huu. Kongamano hilo litahudhuriwa na marais wastafu na viongozi maarufu. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa GPF nchini, Martha Nghambi na Mratibu wa...

 

9 years ago

GPL

JUMUIYA YA AHMADIYYA WAANDAA MKUTANO

Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislam, Seif Hassan, Tahir Mahmood na Katibu Msaidizi, Abdulrahman Ame anayezungumza. Wakisikiliza maswali kutoka kwa wana habari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

Habarileo

Ahmadiyya yasaidia vyakula wajane 80

TAASISI ya Jumuiya ya Kiislamu ya Ahmadiyya juzi ilitoa msaada wa vyakula kwa wajane 80 wa Kata ya Viwandani Manispaa ya Dodoma.

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKA LA GLOBAL PEACE FOUNDATION (GPF) LAANDAA KONGAMANO KUBWA LA VIJANA LA KUJADILI AMANI, KUFANYIKA ZANZIBAR KUANZIA JULAI 12, 2015

  Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Global Peace Foundation (GPF), Arnold Kashembe. Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Global Peace Foundation (GPF), Arnold Kashembe (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kongamano kubwa la vijana  litakalofanyika Zanzibar kwa kipindi cha mwezi mzima kuanzia Julai 12 mwaka huu. Kongamano hilo litahudhuriwa na marais wastafu na viongozi maarufu. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa GPF nchini, Martha Nghambi na Mratibu wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani

Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani