Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


lengo la swaum

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka


Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...

 

10 years ago

Vijimambo

MAWAIDHA YA RAMADHAAN - SWAUM


Fadhila Za Swawm
Ukht Muznah Faraj
Ndugu katika Iymaan

Sifa njema zote Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Mola wa viumbe wote mwingi wa rehma na mwingi wa kusamehe na rehma na amani zimfikie kipenzi chake Allaah Mtume wetu Muhammad (swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) Jamaa na Sahaba wake wote.
Amma Baad:

Ndugu yangu Muislamu ama kwa hakika umetufikia mwezi ulio mtukufu na wenye fadhila kubwa na mavuno kwa wenye mazingatio kwa hayo, nao ni mwezi wa Ramadhaan ambao Allaah...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Malaika wafurahia Swaum ya Ramadhan

Huu ni mwezi wa Ramadhan.Inaelezwa kuwa hata Malaika wanafurahia mfungo huo? Baruan Muhuza anaangazia mfungo huo

 

11 years ago

BBCSwahili

Je TZ itatimiza lengo la 5 la milenia?

Je Tanzania itaweza kufikia lengo la millenia namba 5 la kuhakikisha huduma ya afya ya uzazi imeboreshwa mpaka kufikia mwaka wa 2015?

 

10 years ago

BBCSwahili

UN imetimiza lengo la kupunguza Ukimwi

Lengo la kupunguza maambukizi ya ukimwi kufikia 2015 limefikiwa kwa mujibu wa shirika la umoja wa mataifa UN Aids

 

10 years ago

Habarileo

Ukerewe yavuka lengo kujiandikisha BVR

HALMASHAURI ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza imeandikisha wananchi 162,883 katika daftari la kudumu la wapiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Uandikishaji BVR Dar wavuka lengo

LICHA ya kuanza kwa kusuasua, kazi ya uandikishaji wapigakura katika mfumo wa kielektroniki wa BVR katika Jiji la Dar es Salaam, imepata mafanikio na kuvuka lengo la uandikishaji lililokuwa limewekwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wajigamba kuvuka lengo darasa la saba

Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, Mkoa wa Mwanza imeweka mipango kabambe kuwezesha wanafunzi wa darasa la saba watakaohitimu mwaka huu kufanya vizuri zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani