Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SITAKI WAKANDARASI WABABAISHAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI -KM KUSAYA

Picha Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akionesha kusikitishwa kwake na hali ya ujenzi ghala la kuhifadhia mpunga kijiji cha Mbogo Komtonga kutokamilika ndani ya muda wa mkataba.Wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof.Riziki Shemdoe kulia wa kwanza ni Mratibu wa ERPP Eng.January Kayumbe. Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyeshika kofia) akiwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira Balozi Joseph Sokoine wakikagua...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KILIMO AWAAGIZA WAKANDARASI WA SKIMU ZA UMWAGILIAJI KUMALIZA MIRADI HARAKA

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya, akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na wakandarasi wa miradi ya Umwagiliaji kilichofanyika Jijini Dodoma leo tarehe 19 Mei, 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Sehemu ya wakandarasi wa miradi ya Umwagiliaji wakifatilia maelekezo ya Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya kilichofanyika Jijini Dodoma leo tarehe 19 Mei, 2020.
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bwana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ahoji sababu za miradi ya umwagiliaji kufa

MBUNGE wa Viti Maalum, Kuruthum Mchuchuli (CUF) ameitaka serikali ilieleze Bunge kwanini fedha nyingi za miradi ya kilimo cha umwagiliaji zinatafumwa na wajanja wachache. Alitaka kujua pia watu wanaotafuna fedha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Miradi mingi yakwamisha kilimo cha umwagiliaji

SERIKALI imesema kuanzishwa kwa miradi mingi na Halmashauri kumesababisha kutokamilika kwa miradi ya kilimo cha umwagiliaji. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfery Zambi,...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Mwandosya akagua Miradi ya Umwagiliaji ,Busokelo, Rungwe

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Prof. Mark Mwandosya (wa pili kulia) akipata maelezo ya Mradi wa Umwagiliaji wa Mbaka.Utakapo kamilika Mradi utakuwa na uwezo wa kumwagilia hekta 600 kwenye vijiji vya Mbambo,Kambasegele,Katela,na Kapula-Mpunguti.Wananchi 1300 watanufaika na Skimu hii.wengine pichani kutoka kulia ni Gideon Mapunda,Afisa Kilimo,Ndugu Said Mzeru,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busokelo na Mhe. Alfred Mwakasapi,Diwani wa Kata ya Kambasegela;wakiwa kwenye banio la chanzo...

 

10 years ago

Michuzi

Mwijage afanya kikao na wakandarasi wa miradi ya REA

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amekutana na Mameneja Tanesco wa mikoa na wilaya katika Nyanda za Juu Kusini Magharibi pamoja na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya REA ya usambazaji umeme vijijini, Awamu ya pili katika kanda hiyo ili kujadili utekelezaji wa miradi hiyo ya umeme.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (kulia) akizungumza na Mameneja Tanesco wa mikoa na wilaya katika Nyanda za Juu Kusini Magharibi pamoja na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya...

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30

  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa pili kulia) akimsikiliza mmoja wa wananchi wanaozunguka mgodi wa dhahabu wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo ili kuangalia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika mgodi huo.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa tatu kulia) akiangalia baadhi ya mitambo inayotumika katika shughuli za uzalishaji dhahabu katika  mgodi wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo...

 

5 years ago

Michuzi

WAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA

KAIMU Mkurugenzi wa Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Amos Maganga kushoto akizungumza wakati wa ziara  kufanya tathimini kuona wakandarasi wamefikia hatua gani mpaka sasa wametembelea kwenye kazi walianzia Mkoani Manyara kijiji cha Terati na wapo mkoa wa Tanga katika wilaya ya Mkinga kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya REA Tanzania Julius Kalolo .Mbunge wa Jimbo la Mkinga (CCM) Dastani Kitandula ambaye pia ni  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Madini na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AIAGIZA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUANISIHA NA KUTOA TAKWIMU SAHIHI ZA ENEO LA UMWAGILIAJI NCHINI

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Katikati) akizungumza wakati akizindua Baraza la wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ndogo ya TANAPA Jijini Dodoma leo Tarehe 12 Machi 2020. Wengine pichani ni Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya (Kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Mhandisi  Marko Ndonde. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akizungumza wakati akizindua Baraza...

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima

Viongozi wanaojiona wameshindwa kuleta maendeleo katika maeneo yao wametakiwa kujipima kama wanafaa kuendelea kuongoza na wakijiona hawafanyi lolote waachie ngazi mapema ama wasgombee tena uongozi kwa kuwa wanarudisha nyuma maendeleo ya wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani