Waziri Mwandosya akagua Miradi ya Umwagiliaji ,Busokelo, Rungwe
![](http://2.bp.blogspot.com/-KjcpXukwJBA/VKJ0IRLrS9I/AAAAAAAG6ks/PZdefrrFwkc/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Prof. Mark Mwandosya (wa pili kulia) akipata maelezo ya Mradi wa Umwagiliaji wa Mbaka.Utakapo kamilika Mradi utakuwa na uwezo wa kumwagilia hekta 600 kwenye vijiji vya Mbambo,Kambasegele,Katela,na Kapula-Mpunguti.Wananchi 1300 watanufaika na Skimu hii.wengine pichani kutoka kulia ni Gideon Mapunda,Afisa Kilimo,Ndugu Said Mzeru,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busokelo na Mhe. Alfred Mwakasapi,Diwani wa Kata ya Kambasegela;wakiwa kwenye banio la chanzo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yV4UOrF0c5E/VKormUtCWTI/AAAAAAAG7UE/pBz7PtdiGj0/s72-c/unnamed.jpg)
Mwandosya akagua Miradi ya Ujenzi Busokelo,Rungwe Mashariki, mkoani Mbeya
![](http://1.bp.blogspot.com/-yV4UOrF0c5E/VKormUtCWTI/AAAAAAAG7UE/pBz7PtdiGj0/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NnCJ1WjgYVDHlDScIJohtSfjA5NaOtnOdUAWBNMKr2a5SxIuDzxIONVGFUcyKEcSsZM8ngFmA6GC3NwD4TUGbWF/unnamed.jpg?width=650)
MWANDOSYA AKAGUA MIRADI YA UJENZI BUSOKELO, RUNGWE MASHARIKI, MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fVv8FZ-DjeQ/VVHmhTUETbI/AAAAAAAHW0k/iJTKmYhhWMc/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Waziri Mwandosya atembelea Mradi wa nyumba 13 za kisasa kwa ajili ya Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Rungwe Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-fVv8FZ-DjeQ/VVHmhTUETbI/AAAAAAAHW0k/iJTKmYhhWMc/s640/unnamed%2B(46).jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AIAGIZA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUANISIHA NA KUTOA TAKWIMU SAHIHI ZA ENEO LA UMWAGILIAJI NCHINI
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Naibu Waziri Makalla akagua Miradi ya Visima vya Maji Mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-LYrhx1PyvJ0/U9pucLRjeXI/AAAAAAAArYU/RkEVQ9jnpBY/s1600/Picture+001.jpg)
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kulia), akipata maelezo kutoka kwa kiongozi wa Mafundi wa Kampuni ya CDM Smith, John Donoherth, kuhusu ujenzi wa kisima kilichopo Mkwalia Mkuranga ambacho ni moja kati ya visima 8 vinavyofanyiwa utafiti maji wilayani humo. Makalla alifanya ziara ya kukagua miradi ya maji wilayani Mkuranga mkoani Pwani leo. Pia alikagua mradi wa kisima cha maji cha Nyamato chenye uwezo wa kutoa maji lita 26,000 kwa saa kitakachohudumia wakazi wa vijiji vya Mvuleni,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lqTxCyFtXvU/VajptaiFIOI/AAAAAAAHqOw/_01YYUMfxmc/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA ELIMU WILAYANI MLELE
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqTxCyFtXvU/VajptaiFIOI/AAAAAAAHqOw/_01YYUMfxmc/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4qEWaERQEac/VajptX7MJTI/AAAAAAAHqOs/tlRZXdFnipI/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI AKAGUA MIRADI YA NYUMBA ZA TBA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i9Cw6Grxh2o/VDjSk3258VI/AAAAAAAGpGg/MTWq-1PIkLU/s72-c/IMG_1356.jpg)
Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki akagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Mradi wa Kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II
Akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Kilulu nje kidogo ya mji wa Bariadi Mkoani Simiyu Mhe. Juma alisema ikiwa ni ahadi yake ya kuzindua mashine hiyo lakini ameshindwa kufanya hivyo baada ya kutokeza kasoro za kiufundi na ya...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Ahoji sababu za miradi ya umwagiliaji kufa
MBUNGE wa Viti Maalum, Kuruthum Mchuchuli (CUF) ameitaka serikali ilieleze Bunge kwanini fedha nyingi za miradi ya kilimo cha umwagiliaji zinatafumwa na wajanja wachache. Alitaka kujua pia watu wanaotafuna fedha...