Mwandosya akagua Miradi ya Ujenzi Busokelo,Rungwe Mashariki, mkoani Mbeya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi maalumu) Profesa Mark Mwandosya (wa tano kulia) akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Ntaba, Bi. Rebecca Hyera (wa nne kulia) kuhusu sehemu ya Mradi wa Umwagiliaji maji wa Katela - Ntaba ambapo limejengwa ghala la mazao ya mpunga na kakao.Ujenzi wa ghala umetokana na upotevu wa mazao baada ya kukosekana hifadhi.Utawasaidia pia wakulima kupata bei nzuri kwa kuamua wao wenyewe wakati mzuri wa kuuza ziada ya mazao. Ghala hilo lililojengwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWANDOSYA AKAGUA MIRADI YA UJENZI BUSOKELO, RUNGWE MASHARIKI, MKOANI MBEYA
10 years ago
MichuziWaziri Mwandosya akagua Miradi ya Umwagiliaji ,Busokelo, Rungwe
10 years ago
MichuziWaziri Mwandosya atembelea Mradi wa nyumba 13 za kisasa kwa ajili ya Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Rungwe Mashariki
10 years ago
MichuziProf. Mwandosya akagua Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi,Tukuyu
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA
10 years ago
VijimamboWARIZI WA UJENZI AKAGUA BARABARA MBEYA NA RUKWA
10 years ago
MichuziNaibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki akagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Mradi wa Kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II
Akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Kilulu nje kidogo ya mji wa Bariadi Mkoani Simiyu Mhe. Juma alisema ikiwa ni ahadi yake ya kuzindua mashine hiyo lakini ameshindwa kufanya hivyo baada ya kutokeza kasoro za kiufundi na ya...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI AKAGUA MIRADI YA NYUMBA ZA TBA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi26 Nov
Kinana aunguruma wilayani Nanyumbu mkoani mtwara, akagua miradi ya maendeleo na kushiriki katika kazi
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...