Mwijage afanya kikao na wakandarasi wa miradi ya REA
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amekutana na Mameneja Tanesco wa mikoa na wilaya katika Nyanda za Juu Kusini Magharibi pamoja na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya REA ya usambazaji umeme vijijini, Awamu ya pili katika kanda hiyo ili kujadili utekelezaji wa miradi hiyo ya umeme.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (kulia) akizungumza na Mameneja Tanesco wa mikoa na wilaya katika Nyanda za Juu Kusini Magharibi pamoja na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA
5 years ago
MichuziREA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI
9 years ago
MichuziMwijage akagua miradi ya umeme pembeni mwa bomba la Gesi
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini Awamu ya Pili inayotekelezwa pembeni ya bomba kubwa la gesi katika mkoa wa Mtwara.
Pamoja na kukagua miradi hiyo inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutekelezwa na shirika la Umeme nchini (TANESCO), Naibu Waziri pia amekagua maendeleo ya kituo cha kuchakata gesi kilichopo kijiji cha Madimba katika mkoa wa Mtwara.
Katika ziara hiyo Mwijage...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Miradi ya umeme ya REA kutolipiwa fidia
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s640/unnamed%2B(9).jpg)
5 years ago
MichuziSITAKI WAKANDARASI WABABAISHAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI -KM KUSAYA
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEJIPANGA KUONDOA KASORO ZILIZOJITOKEZA KWENYE MIRADI YA REA-MGALU
Ayasema hayo,Februari 26,2020, wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kiromba,Kata ya Kiromba,Wilaya ya Mtwara vijiji,Mkoani Mtwara,kabla ya kuwasha umeme kwenye kijiji hicho.
Amezitaja baadhi kasoro hizo nia pamoja na baadhi ya wakandarasi kupewa maeneo makubwa ya...
9 years ago
MichuziDkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TZonyqORavo/XsPRLL2DV9I/AAAAAAAAZQI/D2Z-v6WSWwIns6Yr8wNabAMB-DbKHmd5wCLcBGAsYHQ/s72-c/KM%2BKusaya________.jpg)
KATIBU MKUU KILIMO AWAAGIZA WAKANDARASI WA SKIMU ZA UMWAGILIAJI KUMALIZA MIRADI HARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TZonyqORavo/XsPRLL2DV9I/AAAAAAAAZQI/D2Z-v6WSWwIns6Yr8wNabAMB-DbKHmd5wCLcBGAsYHQ/s640/KM%2BKusaya________.jpg)
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bwana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVI7-LlbRlGwKWOlal*5wL64Xuc0sIGYervRqaii0JbhCysZMpVfewCfoq3bXy8cGM0vp8B7XPCClIt0w2EfhR4J/KICGA.jpg)
Kisiga atua mazoezini, afanya kikao na kocha