Agizo la JK mwiba kwa watendaji wababaishaji
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema manispaa hiyo ipo tayari kuwapoteza watendaji wababaishaji kuliko kupatwa aibu kwa kushindwa kukamilisha agizo la ujenzi wa maabara lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E8mJUK_JVI0/Xs-p9zqN_WI/AAAAAAALr2Q/ydZ0QXZ3mnQvI_fMPRTyGjfxxaCrC3U1wCLcBGAsYHQ/s72-c/f07db979-98b6-4e24-afc3-1b9e975a0ec1.jpg)
WAZIRI JAFO AAGIZA WATENDAJI WOTE WABABAISHAJI TARURA WACHUKULIWE HATUA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.
Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.
Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Tarura ambayo...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Kwa nini Lowassa amekuwa mwiba kwa CCM?
YAMEANDIKWA na yanaendelea kuandikwa mengi kuhusu Edward Lowassa kuanza kampeni za kugombea urais mwaka 2015. Yasemekana ‘amewaweka sawa’ wenyeviti na wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CCM ili wamuunge mkono...
10 years ago
Habarileo17 Mar
Katiba ‘mwiba’ kwa wapinzani
SIKU moja baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kuonya juu ya waraka wa maaskofu wa kutaka wananchi waikatae Katiba Inayopendekezwa, wanaoisakama Katiba hiyo wamezidi kubanwa na kuonekana wasioitakia mema Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ujerumani mwiba kwa wanariadha
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Mwiba ulinikwama kooni kwa udokozi
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Deni la Ugiriki,mwiba kwa Angela Merkel
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rewOcxObgKI/XoDpECgx5pI/AAAAAAALlfQ/m7ihFras5Nkkr2rF08UKm8zPmUFPlsymgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20190628-184444_Instagram.jpg)
MATIBABU YA TUNDU LISU NCHINI UBELGIJI YALIVYOGEUKA 'MWIBA' KWA MBUNGE CHADEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rewOcxObgKI/XoDpECgx5pI/AAAAAAALlfQ/m7ihFras5Nkkr2rF08UKm8zPmUFPlsymgCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_20190628-184444_Instagram.jpg)
*Atoboa siri ya kamati ya watu sita iliyohusika kwa Lisu
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Anthony Komu(Chadema) amekiri amewahi kuwa na tofauti na viongozi wa ngazi za juu wa Chama hicho na aliamini hayo ni mambo ya kawaida kwa taasisi kubwa na inayokuwa.
Kwa bahati mbaya kuwa na mtazamo tofauti na wenzie kwa kiwango kikubwa umechukuliwa kuwa uasi ndani ya chama jambo linalosababisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mzFsZigKeGo/VDwN_h5DMsI/AAAAAAADJqo/fRAGzQJ1kEA/s72-c/92014_0001.jpg)