Mwiba ulinikwama kooni kwa udokozi
Naitwa Abel Hafify nina umri wa miaka kumi na moja, nasoma darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Magomeni, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Kwa nini Lowassa amekuwa mwiba kwa CCM?
YAMEANDIKWA na yanaendelea kuandikwa mengi kuhusu Edward Lowassa kuanza kampeni za kugombea urais mwaka 2015. Yasemekana ‘amewaweka sawa’ wenyeviti na wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CCM ili wamuunge mkono...
10 years ago
Habarileo17 Mar
Katiba ‘mwiba’ kwa wapinzani
SIKU moja baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kuonya juu ya waraka wa maaskofu wa kutaka wananchi waikatae Katiba Inayopendekezwa, wanaoisakama Katiba hiyo wamezidi kubanwa na kuonekana wasioitakia mema Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ujerumani mwiba kwa wanariadha
10 years ago
Habarileo09 Sep
Agizo la JK mwiba kwa watendaji wababaishaji
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema manispaa hiyo ipo tayari kuwapoteza watendaji wababaishaji kuliko kupatwa aibu kwa kushindwa kukamilisha agizo la ujenzi wa maabara lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete.
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Deni la Ugiriki,mwiba kwa Angela Merkel
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rewOcxObgKI/XoDpECgx5pI/AAAAAAALlfQ/m7ihFras5Nkkr2rF08UKm8zPmUFPlsymgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20190628-184444_Instagram.jpg)
MATIBABU YA TUNDU LISU NCHINI UBELGIJI YALIVYOGEUKA 'MWIBA' KWA MBUNGE CHADEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rewOcxObgKI/XoDpECgx5pI/AAAAAAALlfQ/m7ihFras5Nkkr2rF08UKm8zPmUFPlsymgCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_20190628-184444_Instagram.jpg)
*Atoboa siri ya kamati ya watu sita iliyohusika kwa Lisu
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Anthony Komu(Chadema) amekiri amewahi kuwa na tofauti na viongozi wa ngazi za juu wa Chama hicho na aliamini hayo ni mambo ya kawaida kwa taasisi kubwa na inayokuwa.
Kwa bahati mbaya kuwa na mtazamo tofauti na wenzie kwa kiwango kikubwa umechukuliwa kuwa uasi ndani ya chama jambo linalosababisha...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Bajeti mwiba
HOFU ya kuvunjwa kwa Bunge na kuingia kwenye uchaguzi mkuu kabla ya mwaka 2015, imechangia wabunge kushindwa kuikataa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/15 ya sh trilioni 19.8, licha ya...
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Warioba mwiba
HOJA mbalimbali za aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, jana ziliwafanya baadhi ya makada wa CCM kupandwa na jazba na kuzua vurugu kubwa katika mdahalo...