Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba mwiba

HOJA mbalimbali za aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, jana ziliwafanya baadhi ya makada wa CCM kupandwa na jazba na kuzua vurugu kubwa katika mdahalo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba mwiba CCM

HILA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, huku wakitumia kitisho cha jeshi kuasi iwapo mfumo wa serikali tatu utaridhiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti mwiba

HOFU ya kuvunjwa kwa Bunge na kuingia kwenye uchaguzi mkuu kabla ya mwaka 2015, imechangia wabunge kushindwa kuikataa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/15 ya sh trilioni 19.8, licha ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IPTL mwiba CCM

KITENDO cha wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamua kuzima hoja ya kutaka kuunda Kamati Teule ya Bunge, kuchunguza kashfa ya ukwapuaji wa fedha katika akaunti ya Escrow iliyofunguliwa Benki...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE

 Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.
Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, akipongezwa na wanaCCM katika mkutano wa kampeni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani mwiba kwa wanariadha

Kwa mara ya kwanza Ujerumani imeamua kuweka sheria kali kwa wafukuza upepo kama kosa la jinai

 

10 years ago

Habarileo

Katiba ‘mwiba’ kwa wapinzani

Naibu Katibu Mkuu wa CCM -Zanzibar, Vuai Ali VuaiSIKU moja baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kuonya juu ya waraka wa maaskofu wa kutaka wananchi waikatae Katiba Inayopendekezwa, wanaoisakama Katiba hiyo wamezidi kubanwa na kuonekana wasioitakia mema Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Sekta ya Nishati mwiba mchungu

>Sekta ya nishati imebainika kuweka historia mbaya nchini katika kipindi cha zaidi ya miaka 20 ikisababisha mitikisiko katika Serikali, kuyumbisha uchumi na kuwang’oa mawaziri zaidi ya watatu na watendaji mbalimbali wa Serikali, taasisi na mashirika yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwiba ulinikwama kooni kwa udokozi

Naitwa Abel Hafify nina umri wa miaka kumi na moja, nasoma darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Magomeni, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Agizo la JK mwiba kwa watendaji wababaishaji

MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema manispaa hiyo ipo tayari kuwapoteza watendaji wababaishaji kuliko kupatwa aibu kwa kushindwa kukamilisha agizo la ujenzi wa maabara lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani