Katiba ‘mwiba’ kwa wapinzani
SIKU moja baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kuonya juu ya waraka wa maaskofu wa kutaka wananchi waikatae Katiba Inayopendekezwa, wanaoisakama Katiba hiyo wamezidi kubanwa na kuonekana wasioitakia mema Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Kwa nini Lowassa amekuwa mwiba kwa CCM?
YAMEANDIKWA na yanaendelea kuandikwa mengi kuhusu Edward Lowassa kuanza kampeni za kugombea urais mwaka 2015. Yasemekana ‘amewaweka sawa’ wenyeviti na wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CCM ili wamuunge mkono...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ujerumani mwiba kwa wanariadha
10 years ago
Habarileo09 Sep
Agizo la JK mwiba kwa watendaji wababaishaji
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema manispaa hiyo ipo tayari kuwapoteza watendaji wababaishaji kuliko kupatwa aibu kwa kushindwa kukamilisha agizo la ujenzi wa maabara lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete.
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Mwiba ulinikwama kooni kwa udokozi
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Deni la Ugiriki,mwiba kwa Angela Merkel
10 years ago
Habarileo18 Oct
Wapinzani wa Katiba waendelea kubanwa
SASA ni dhahiri wanasiasa wanaojiandaa kuzunguka nchi nzima kushawishi Watanzania wapige kura ya Hapana kwa Katiba Inayopendekezwa, kibarua chao kimeanza kuwa kigumu kabla hata hawajaanza.
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Sitta apata wapinzani uenyekiti Bunge la Katiba
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rewOcxObgKI/XoDpECgx5pI/AAAAAAALlfQ/m7ihFras5Nkkr2rF08UKm8zPmUFPlsymgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20190628-184444_Instagram.jpg)
MATIBABU YA TUNDU LISU NCHINI UBELGIJI YALIVYOGEUKA 'MWIBA' KWA MBUNGE CHADEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rewOcxObgKI/XoDpECgx5pI/AAAAAAALlfQ/m7ihFras5Nkkr2rF08UKm8zPmUFPlsymgCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_20190628-184444_Instagram.jpg)
*Atoboa siri ya kamati ya watu sita iliyohusika kwa Lisu
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Anthony Komu(Chadema) amekiri amewahi kuwa na tofauti na viongozi wa ngazi za juu wa Chama hicho na aliamini hayo ni mambo ya kawaida kwa taasisi kubwa na inayokuwa.
Kwa bahati mbaya kuwa na mtazamo tofauti na wenzie kwa kiwango kikubwa umechukuliwa kuwa uasi ndani ya chama jambo linalosababisha...