Wapinzani wa Katiba waendelea kubanwa
SASA ni dhahiri wanasiasa wanaojiandaa kuzunguka nchi nzima kushawishi Watanzania wapige kura ya Hapana kwa Katiba Inayopendekezwa, kibarua chao kimeanza kuwa kigumu kabla hata hawajaanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 May
Waliofungiwa CCM waendelea kubanwa
NA FREDY AZZAH, Dar es Salaam
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema baada ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa ndani ya chama hicho, wana CCM watatakiwa kuendelea kuheshimu taratibu na sheria za...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Wamiliki shule binafsi waendelea kubanwa
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetoa wiki mbili kwa wamiliki wa shule za binafsi kuhakikisha wanawasilisha vibali vya ada wanazotoza hivi sasa na watakaokiuka agizo hilo watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Pia imewataka wamiliki wa shule hizo kutoongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari, 2016 hadi watakapopata maelekezo kutoka kwa Kamishna wa Elimu.
Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Oliver Kato...
10 years ago
Habarileo17 Mar
Katiba ‘mwiba’ kwa wapinzani
SIKU moja baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kuonya juu ya waraka wa maaskofu wa kutaka wananchi waikatae Katiba Inayopendekezwa, wanaoisakama Katiba hiyo wamezidi kubanwa na kuonekana wasioitakia mema Tanzania.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Sitta apata wapinzani uenyekiti Bunge la Katiba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX2KGpZAWba5iEfj2Hyw3u6-YvJC7334Ze1Woh02HoICA2m5OfXtnc3GyGlkKAz9K7S7i2VKZRQ8PKnGTEkeg20V/bunge1.jpg?width=650)
KORAMU YATIMIA BUNGENI, MJADALA WA KATIBA MPYA WAENDELEA, WENGI WA KUNDI LA 2O1 WAREJEA MJENGONI
9 years ago
Habarileo27 Aug
Wazazi wasiowajibika kubanwa
SERIKALI imesema itaboresha sheria kwa ajili ya kubana wazazi wasiowajibika katika malezi.
10 years ago
Habarileo20 Aug
Wabunge wakataa kubanwa
BAADHI ya wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, wamependekeza kuondoa kwenye rasimu ya Katiba mpya, kipengele kinachotaka wananchi wapewe uwezo kisheria, kuwaondoa wabunge wao wasioweza kutatua kero za wapigakura wao, badala ya kusubiri mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu.
11 years ago
Mtanzania08 Aug
Sitta azidi kubanwa
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA WAANDISHI WETU
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amezidi kuandamwa baada ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kumtaka kusitisha mara moja mchakato wa Katiba unaoendelea.
Kituo hicho, kimesema Bunge hilo linapaswa kusitishwa hadi muafaka utakapofikiwa kati ya makundi mawili yanayosigana.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa LHRC,...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Kampuni za simu kubanwa
KAMPUNI za simu nchini zitaanza kufuatiliwa na mtambo maalumu ili kubaini kila senti zinazoingiza na kuwezesha Serikali kupata kodi yake kikamilifu.