Waliofungiwa CCM waendelea kubanwa
NA FREDY AZZAH, Dar es Salaam
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema baada ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa ndani ya chama hicho, wana CCM watatakiwa kuendelea kuheshimu taratibu na sheria za...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Oct
Wapinzani wa Katiba waendelea kubanwa
SASA ni dhahiri wanasiasa wanaojiandaa kuzunguka nchi nzima kushawishi Watanzania wapige kura ya Hapana kwa Katiba Inayopendekezwa, kibarua chao kimeanza kuwa kigumu kabla hata hawajaanza.
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Wamiliki shule binafsi waendelea kubanwa
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetoa wiki mbili kwa wamiliki wa shule za binafsi kuhakikisha wanawasilisha vibali vya ada wanazotoza hivi sasa na watakaokiuka agizo hilo watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Pia imewataka wamiliki wa shule hizo kutoongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari, 2016 hadi watakapopata maelekezo kutoka kwa Kamishna wa Elimu.
Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Oliver Kato...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6rVUJH0QUDKU7EiMvu5z8zxfZZajkw7og*CtkjjsBTGrIJ513NCkMNMypxw0b275HPwI8Jz6CDf*nTbuD0xniK*/edward_lowasa.jpg?width=650)
MAKADA SITA WALIOFUNGIWA CCM SASA HURU
10 years ago
Mwananchi16 Dec
CCM, Ukawa waendelea kuchuana
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
CCM Babati waendelea kushikana ‘uchawi’
MGOGORO uliokumba Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Babati umezidi kushika “kasi” kufuatia hatu
Paul Sarwatt
10 years ago
Habarileo14 Jun
Mchakato urais CCM waendelea kunguruma
KADA mwingine wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana alijitokeza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa nafasi ya urais kwa chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
9 years ago
Mwananchi13 Dec
CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-XmEhOtQpuh8/VkWVlJyZ2FI/AAAAAAAArRg/59Q_yDypZqs/s72-c/2.jpg)
WABUNGE WA CCM WAENDELEA KUCUKUA FOMU ZA USPIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XmEhOtQpuh8/VkWVlJyZ2FI/AAAAAAAArRg/59Q_yDypZqs/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YMC_p2PYVjU/VkWVlhMAn6I/AAAAAAAArRo/FCdbNkGYiFA/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrKT5Iz3R2E/VkWVldOVfSI/AAAAAAAArRk/isdJ5Pm6Ibg/s640/4.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Apr
Urais, ubunge kiza kinene CCM., Wagombea waendelea kuumiza vichwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-8April2015.jpg)
Wakati wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiendelea kupiga `jalamba' kujiandaa kuchukua fomu za kuwania urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu mwaka huu, chama hicho bado kimeweka usiri wa lini kitatoa ratiba rasmi ili kuwawezesha watu wanaotaka kuwania nafasi hizo kuanza kuchukua fomu.
Tofauti na miaka yote, chama hicho kikongwe kimekuwa kikitangaza ratiba mapema kuwawezesha wanachama wake kufahamu utaratibu wa...