CCM Babati waendelea kushikana ‘uchawi’
MGOGORO uliokumba Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Babati umezidi kushika “kasi” kufuatia hatu
Paul Sarwatt
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3cvOrxqZiy8/VPP3nG6lNxI/AAAAAAAC0ws/zSjT2gJVFcA/s72-c/eximite%2BBabati.jpg)
exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati
![](http://1.bp.blogspot.com/-3cvOrxqZiy8/VPP3nG6lNxI/AAAAAAAC0ws/zSjT2gJVFcA/s1600/eximite%2BBabati.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 May
Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa Babati vijijini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon mara baada ya kuwasili na kupokelewa katika Kata ya Mangara wilaya ya Babati Vijijini.Katibu Mkuu wa CCM yupo ziarani katika mkoa wa Manyara ambapo atafanya shughuli za kimaendeleo ikiwemo kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kukagua uhai wa chama.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa amezungukwa na wakazi wa Kata ya Mangara wilayani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0059.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200612-WA0059.jpg)
Na Mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara inamshikilia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Maisaka kati Bakari Khatibu na katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe wote wakazi wa wilaya ya Babati kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya sh. 200,000 kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la kinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) mtaa wa Komoto.
Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliyasema hayo mjini Babati wakati...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gfj5qHcKzV4/U5q46x-WPOI/AAAAAAAFqS0/O0R6zwv2bHo/s72-c/unnamed+(78).jpg)
MISS MANYARA 2014 KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA CCM MJINI BABATI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVkuYsumCJ*M*myLFdn3JASQRvjCGlrb5AeCY53vHb2Q4a2Nmw0QeaNnwTktthvISyXRnfptHeW-LJ5SDPULt9z2/timbwili.jpg)
TIMBWILI LA KUSHIKANA UCHAWI LATIKISA
11 years ago
Mwananchi30 May
‘Kushikana mikono chanzo cha kusambaza magonjwa’
10 years ago
Mwananchi16 Dec
CCM, Ukawa waendelea kuchuana
10 years ago
Mtanzania11 May
Waliofungiwa CCM waendelea kubanwa
NA FREDY AZZAH, Dar es Salaam
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema baada ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa ndani ya chama hicho, wana CCM watatakiwa kuendelea kuheshimu taratibu na sheria za...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B1LTxA_7O18/U4cACO2XSII/AAAAAAACicA/2ou1KsNdnRg/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI BABATI LEO, AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI MANYARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-B1LTxA_7O18/U4cACO2XSII/AAAAAAACicA/2ou1KsNdnRg/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k_HQcb7u2Hw/U4b_8aT-OPI/AAAAAAACibY/uTi3goEjv0A/s1600/1.jpg)