‘Kushikana mikono chanzo cha kusambaza magonjwa’
>Kutokana na tabia ya kuambukiza, magonjwa yanaweza kugawanywa kimsingi katika makundi makuu mawili, yaani magonjwa yasiyoambukiza au magonjwa yanayoambukiza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kuzeeka ubongo, kaswende vyaweza kuwa chanzo cha tatizo la kutetemeka mikono
Moja ya vitendo vya mwili ambavyo viko nje ya uwezo wa mtu kujizuia ni kutetemeka. Wataalamu wanabainisha kuwa, kuna baadhi ya aina za kutetemeka zinazowapata watu ambao wana afya njema na aina zingine hutokea kama athari hasi za matumizi ya dawa aina fulani. Lakini kwa sehemu kubwa, kutetemeka kwa baadhi ya viungo vya mwili, ni moja ya dalili za baadhi ya magonjwa yanayoshambulia mfumo wa fahamu.
9 years ago
Mwananchi20 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G7uAjCukzKc/VGsjm6yJd_I/AAAAAAACu4c/8hXrJxjIG2c/s72-c/1.jpg)
BASATA NA KITUO CHA UTAMADUNI CHA UJERUMAN (GOETH INSTITUT) WAENDESHA MAFUNZO KWA WASANII WA SANAA ZA MIKONO
![](http://3.bp.blogspot.com/-G7uAjCukzKc/VGsjm6yJd_I/AAAAAAACu4c/8hXrJxjIG2c/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vR33RtLDsoM/VGsjm8i4ynI/AAAAAAACu4k/CfwfPWcQj3E/s1600/2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
NHIF yajenga kituo cha kisasa cha kuchunguza magonjwa Dodoma
SERIKALI kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imejenga kituo kikubwa cha kisasa cha uchunguzi wa magonjwa mbalimbali mkoani hapa ili kuokoa fedha zinazotumika kusafirisha wagonjwa nje ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bgWZynVz*oWPxSnpdx81*nEWKnfR3YzfSf-rKjECbrgybhW*Lm71cHR*WwDE5OZ1owfBZc4HOPQOKXfTAK2yAQMGr3bGNgag/secky2.jpg)
FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY
Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake. Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake. Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali. Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa...
10 years ago
GPL17 Feb
10 years ago
Vijimambo04 Oct
RAIS KIKWETE AKAGUA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA NA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA BINADAMU CHA UDOM
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/8OcIUHRT--_OAzviO2Xvcaq3hiyUREZFk39-1tWvYVgeWyPJMuoWzINQjQKwSpdH8XMqP60jCa1qPHQIhyooo3eIGDeW_zpM4hft-30X5aUkSJaJulUzM0Zr_Z4oRYl-PBcAncrUIot5IHFYD1s_-Ds2H5mMY3r-6Bms3NhG0ce51V5h6t-CAycvQrgUFZoinaTVYTvh9N6jQLi8YOozR3b77HlPZQ8_FTzvqc8pJ_u57QtHEwZaO0ejGYDtSydmqcggehC05IqxWH157wFTGPdPHD_S0YpgllVORLQtTc4a1BtcvOl4pMwbnGYwkoLRAzZGvyI3tGklmw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-R5XjpaarlVc%2FVC_Mr9kNtyI%2FAAAAAAAGnto%2FdsSJ-t_nHQc%2Fs1600%2Fu2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya Corona: Kituo cha kudhibiti magonjwa cha AU chaitaka Tanzania kutoa takwimu
Zimeshatimu wiki mbili bila Tanzania bara kutoa takwimu mpya za corona.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s72-c/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassar jana ameungana na mamia ya wananchi katika kijijicha Karangai kata ya Kikwe katika jimbo hilo kufanya shughuli za awali za ujenzi wa chanzo kipya cha Maji kwa ajili ya umwagiliaji.
Zoezi hilo lilo anza majira ya saa 3 asubuhi na kumalizika majira ya saa 12 jioni ilishuhudiwa Mbunge Nassar akishiriki kazi za mikono ikiwemo kubeba mawe na kuayapanga katika eneo la mto kwa ajili ya ujenzi wa chanzo hicho.Akizungumza katika eneo hilo ,Nassar...
Zoezi hilo lilo anza majira ya saa 3 asubuhi na kumalizika majira ya saa 12 jioni ilishuhudiwa Mbunge Nassar akishiriki kazi za mikono ikiwemo kubeba mawe na kuayapanga katika eneo la mto kwa ajili ya ujenzi wa chanzo hicho.Akizungumza katika eneo hilo ,Nassar...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania