CCM, Ukawa waendelea kuchuana
Wasimamizi wa uchaguzi katika maeneo mbalimbali nchini, jana waliendelea kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambayo yameonyesha vyama vya upinzani vikichomoza na ushindi katika sehemu ambazo awali, hazikuwa ngome yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziUKAWA waendelea na Kampeni yao Pemba
10 years ago
Mtanzania11 May
Waliofungiwa CCM waendelea kubanwa
NA FREDY AZZAH, Dar es Salaam
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema baada ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa ndani ya chama hicho, wana CCM watatakiwa kuendelea kuheshimu taratibu na sheria za...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
CCM Babati waendelea kushikana ‘uchawi’
MGOGORO uliokumba Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Babati umezidi kushika “kasi” kufuatia hatu
Paul Sarwatt
10 years ago
Habarileo14 Jun
Mchakato urais CCM waendelea kunguruma
KADA mwingine wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana alijitokeza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa nafasi ya urais kwa chama hicho, katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
9 years ago
Mwananchi13 Dec
CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-XmEhOtQpuh8/VkWVlJyZ2FI/AAAAAAAArRg/59Q_yDypZqs/s72-c/2.jpg)
WABUNGE WA CCM WAENDELEA KUCUKUA FOMU ZA USPIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XmEhOtQpuh8/VkWVlJyZ2FI/AAAAAAAArRg/59Q_yDypZqs/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YMC_p2PYVjU/VkWVlhMAn6I/AAAAAAAArRo/FCdbNkGYiFA/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrKT5Iz3R2E/VkWVldOVfSI/AAAAAAAArRk/isdJ5Pm6Ibg/s640/4.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Apr
Urais, ubunge kiza kinene CCM., Wagombea waendelea kuumiza vichwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-8April2015.jpg)
Wakati wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiendelea kupiga `jalamba' kujiandaa kuchukua fomu za kuwania urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu mwaka huu, chama hicho bado kimeweka usiri wa lini kitatoa ratiba rasmi ili kuwawezesha watu wanaotaka kuwania nafasi hizo kuanza kuchukua fomu.
Tofauti na miaka yote, chama hicho kikongwe kimekuwa kikitangaza ratiba mapema kuwawezesha wanachama wake kufahamu utaratibu wa...
10 years ago
Michuzi24 Jul
WATIA NIA CCM WAENDELEA NA ZIARA YA KUJITAMBULISHA KATIKA KATA MBALIMBALI JIMBO LA ARUSHA MJIN
![SAM_4061](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/M4WAho2bXxAtSAob2K6vIj6VHqF-RxAuo2GjJfx0y6b4zhLdEOl6TdElQbjxofkE9K5YlMaLT2jQEUMjW5ZQqZEskpK2O_92XHruJ2Xudw9deGk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4061.jpg)
![SAM_4098](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/deX0ata86eL8aLwIo_1BAIUV9SJiw40In8CnfcjIy_jQG4f8nio6z8zJYt-edXq_xwxS4H5AuTMqRkJ4BfxS-MEHbWg3rwUfQ2YE8FqTyaVtFNA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4098.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
UKAWA yaikwamisha CCM
JITIHADA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) za kutaka kurekebisha kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, ili kutumia wingi wake kupitisha ibara na sura za rasimu ya katiba kwenye kamati zimegonga...