IPTL mwiba CCM
KITENDO cha wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamua kuzima hoja ya kutaka kuunda Kamati Teule ya Bunge, kuchunguza kashfa ya ukwapuaji wa fedha katika akaunti ya Escrow iliyofunguliwa Benki...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Warioba mwiba CCM
HILA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, huku wakitumia kitisho cha jeshi kuasi iwapo mfumo wa serikali tatu utaridhiwa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Kwa nini Lowassa amekuwa mwiba kwa CCM?
YAMEANDIKWA na yanaendelea kuandikwa mengi kuhusu Edward Lowassa kuanza kampeni za kugombea urais mwaka 2015. Yasemekana ‘amewaweka sawa’ wenyeviti na wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CCM ili wamuunge mkono...
11 years ago
Tanzania Daima29 May
IPTL yavuruga wabunge CCM
SAKATA la fedha zinazodaiwa kuchotwa kwenye Akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow) ya Benki Kuu (BoT) limewavuruga wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima limebaini....
10 years ago
IPPmedia15 Jan
CCM: We'll to discipline those involved in IPTL scam
IPPmedia
IPPmedia
CCM's Central Committee has ordered the party's ethics committee to take action against members whose engagement in the Tegeta escrow account (IPTL) scandal has been proven. The party's Secretary - Ideology and Publicity, Nape Nnauye issued the ...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Bajeti mwiba
HOFU ya kuvunjwa kwa Bunge na kuingia kwenye uchaguzi mkuu kabla ya mwaka 2015, imechangia wabunge kushindwa kuikataa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/15 ya sh trilioni 19.8, licha ya...
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Warioba mwiba
HOJA mbalimbali za aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, jana ziliwafanya baadhi ya makada wa CCM kupandwa na jazba na kuzua vurugu kubwa katika mdahalo...
10 years ago
Habarileo17 Mar
Katiba ‘mwiba’ kwa wapinzani
SIKU moja baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kuonya juu ya waraka wa maaskofu wa kutaka wananchi waikatae Katiba Inayopendekezwa, wanaoisakama Katiba hiyo wamezidi kubanwa na kuonekana wasioitakia mema Tanzania.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ujerumani mwiba kwa wanariadha