IPTL yavuruga wabunge CCM
SAKATA la fedha zinazodaiwa kuchotwa kwenye Akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow) ya Benki Kuu (BoT) limewavuruga wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima limebaini....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Nov
IPTL yazamisha mawaziri, AG, wabunge
11 years ago
Mwananchi19 May
Sakata IPTL lazidi kuwavuruga wabunge
10 years ago
MichuziVYAMA VITANO VYA SIASA VISIVYO NA WABUNGE VYAOMBA SAKATA LA IPTL LIMALIZWE
MAKATIBU wakuu wa vyama vitano vya kisiasa visivyo na wabunge bungeni wameomba suala la utata wa ufisadi zaidi ya sh.bilioni 300 zilizowekwa katika akaunti ya Tegeta Escrow zilizokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limalizwe ili kuendelea kwa mambo mengine ya kitaifa.
Katika hatua nyingine makatibu hao wamepinga hatua ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru) kukabidhi ripoti ya uchunguzi kwa Waziri Mkuu na kudai ipelekwe kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
IPTL mwiba CCM
KITENDO cha wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamua kuzima hoja ya kutaka kuunda Kamati Teule ya Bunge, kuchunguza kashfa ya ukwapuaji wa fedha katika akaunti ya Escrow iliyofunguliwa Benki...
10 years ago
IPPmedia15 Jan
CCM: We'll to discipline those involved in IPTL scam
IPPmedia
IPPmedia
CCM's Central Committee has ordered the party's ethics committee to take action against members whose engagement in the Tegeta escrow account (IPTL) scandal has been proven. The party's Secretary - Ideology and Publicity, Nape Nnauye issued the ...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Ripoti ya Hoseah yavuruga Bunge
9 years ago
Habarileo04 Oct
Matamko ya Rais yavuruga mkutano
MKUTANO Mkuu wa Chama cha Wauguzi nchini (TANNA) umeahirisha ghafla kwa kile kinachoelezwa kuwa ni sababu za kiusalama kufuatia baadhi ya wajumbe wa mkutano huo kutofautiana kuhusiana na kauli iliyotolewa na Rais wa Chama hicho Paul Magesa kuwa chama hicho kinaunga mkono vuguvugu la mabadiliko kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Majimbo matano yavuruga Ukawa
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Vita ya Sitta, Chenge yavuruga Bunge
HARAKATI za Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge kutaka kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, zimeelezwa...