Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge akerwa mjadala wa posho

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Josephine Chagula, ameelezwa kukerwa na malumbano ya wanasiasa ambayo yanalenga kutetea sera za vyama vyao badala ya kutetea maslahi ya nchi. Akizungumza na Tanzania...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kisumo akerwa wajumbe ‘kulilia’ posho kubwa

>Mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo, amesema anawasikitikia Watanzania kutokana na hatua ya baadhi ya viongozi waliowamini na kuwapa uongozi kutafunwa na kirusi cha posho.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbunge akerwa makandarasi wababaishaji

Mbunge wa Korogwe Mjini, Mary Chatanda ameishauri Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga kuachana na makandarasi wababaishaji wanaokwamisha miradi kwa kukosa fedha za kujiendesha wenyewe.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge mkongwe akerwa na udhalilishaji wanawake

MWANASIASA mkongwe nchini ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah amesema ataendelea kukemea vitendo vya kudhalilisha wanawake wanaotafuta uongozi.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ataka wasilipwe posho

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ameshauriwa kumuandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kuomba kuvunjwa kwa bunge hilo linaloendelea mjini hapa endapo wajumbe wake watashindwa kuanza kujadili rasimu Jumatatu ijayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Spika Makinda: Mbunge aliyetafuna posho arejeshe

Spika wa Bunge, Anne Makinda jana alipigilia msumari sakata la wabunge kuchukua posho bila kuzifanyia kazi stahiki kwa kuwaamuru wazirudishe.

 

9 years ago

StarTV

 Mbunge wa Singida Magharibi atangaza kutochukua posho za  vikao vya bunge

Mbunge wa Singida Magharibi kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Elibariki Kingu ametangaza azma yake ya kutochukua posho za vikao vya Bunge kwa muda wa miaka mitano ili fedha hizo zikasaidie wananchi wake.

Uamuzi huo umekuja kwa kile alichodai kuwa, Serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi kugharamia mahitaji yasiyo ya lazima ikiwa ni pamoja na posho hizo wakati hayo yote ni sehemu ya majukumu yao.

Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu akitoa mchanganuo wa fedha anazolipwa Mbunge mmoja kwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

Mwananchi

Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho

Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani