Mbunge: Wanawake mnamkosea Mungu
MBUNGE wa Konde, Khatibu Said Haji (CUF) amesema wanawake wameadhibiwa na Mungu katika maandiko matakatifu na kuhoji hawaoni kuwa harakati zao za kudai haki sawa, ikiwemo uwakilishi wa asilimia 50 kwa 50 katika nafasi za uamuzi kuwa ni kuingilia adhabu hiyo halali.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s400/9.jpg)
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s400/9.jpg)
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...
11 years ago
Habarileo11 Mar
Mbunge mkongwe akerwa na udhalilishaji wanawake
MWANASIASA mkongwe nchini ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah amesema ataendelea kukemea vitendo vya kudhalilisha wanawake wanaotafuta uongozi.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Mbunge ataka Benki ya Wanawake Pemba
MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itapeleka Benki ya Wanawake katika mikoa ya Pemba, ili nao waweze kunufaika na benki hiyo. Msabaha...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Mbunge ataja wanawake wanaofaa kuwania urais
MBUNGE wa Viti Maalumu, Anna Abdallah (CCM), amewataja wanawake watatu anaoona wanafaaa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu mwakani. Akizungumza katika kipindi cha Medani za Wanasiasa na Uchumi, kinachorushwa na kituo...
10 years ago
Mwananchi21 May
Mbunge amjia juu DC sakata la wanawake wa Rombo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ANOGESHA SHEREHE ZA WANAWAKE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_6h5EVv8A0/Xmecb1705MI/AAAAAAAAkW0/_o3SsfxmLpMgYFgU1JJs1-9TDYLZGYzkACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rzIMkL9afNE/XmecOc4QdrI/AAAAAAAAkWg/jFH14QGfsWE1WhB2KYhH5g9nJaq12IMVACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsiRkJGy4P0/XmecN3FonjI/AAAAAAAAkWc/kc0LkeyxgOYhLQH9MRGMf2jFB_YPnAUBQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF1sdgCUDWQ/XmecPceiyUI/AAAAAAAAkWk/v3adMMTx04Yv9mJW_H6F1cJsqVQbe784wCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ezdHfyrce4/XmecPhxxKhI/AAAAAAAAkWo/nKadHWK4P3gUAV1tGS11twIp9ormQpBSwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
11 years ago
GPLMUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA