Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Johari awashangaa marafiki zake

johariGNA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Blandina Chagula ‘Johari’, ameshangaza kutokufahamu uhusiano wa urafiki na watu maarufu baada ya kudai anashangaa kuwa na marafiki wengi kwa sasa.
Msanii huyo alifikia hatua hiyo baada ya kusema kuwa kabla ya kuingia kwenye uigizaji hakuwa na marafiki lakini baada ya kuingia katika fani hiyo na kuwa maarufu amekuwa na idadi kubwa ya marafiki.
“Najulikana kwa sasa na naamini ustaa wangu na kazi zangu nilizofanya kwa umaridadi ndio unaonipa marafiki...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KHADIJA KOPA MARAFIKI ZAKE WALIKUWA WAVULANA SHULENI

Khadija Kopa ameanza kuyasimulia maisha yake, amekwenda kuanza shule huku moyo wake ukiwa na hofu kwa kuona kwamba sasa ni wakati wa kuchapwa fimbo kama walivyokuwa wengine.
Anaishi na bibi yake, bi Biubwa lakini mara kwa mara mama yake amekuwa akifika hapo kwa ajili ya kumsalimia. Malkia wa mipasho tanzania , Khadija Kopa Maisha ya bibi yake yakaanza kumfanya kudeka sana kwani hakuwa akichapwa wala kufokewa kitu… ...

 

11 years ago

Bongo Movies

Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili

PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.

 

Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.

“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sungura awashangaa wanaomshambulia

MBUNGE wa Viti Maalumu, Sabrina Sungura (CHADEMA), ameshangazwa na baadhi ya Watanzania hususani wanaotoka Mkoa wa Kigoma kumshambulia kwa matusi na kejeli kwa madai kuwa anapinga ujenzi wa Kituo cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu awashangaa wachungaji wa magari

MAKAMU Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Magnus Muhiche, amesema kuwa anashindwa kuwaelewa baadhi ya wachungaji wanaotanguliza harambee za ununuzi wa magari badala ya kujenga makanisa....

 

9 years ago

GPL

NELLY KAMWELU AWASHANGAA WANAOSEMA KACHUJA

Miss Universe 2011, Nelly Kamwelu amewashangaa watu wanaodhani kukaa kwake kimya kachuja na kusema kuwa bado analipa na anavutia. Akichezesha taya na Amani, Nelly alisema kuwa bado yupoyupo sana na kwa sasa anajishugulisha na mambo ya urembo ambapo anapata tenda za kuonesha mitindo katika nchi mbalimbali.   ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1EY9bn1 ...

 

9 years ago

GPL

ESHA BUHETI AWASHANGAA WALIOKIMBIA UCHAGUZI

Na Gladness Mallya MSANII wa filamu Bongo, Esha Buheti ameibuka na kuwashangaa wasanii na waliokimbia uchaguzi mkuu wakiacha haki yao ya msingi ya kupiga kura. Msanii wa filamu Bongo, Esha Buheti. Akipiga stori na gazeti hili, Esha alisema wasanii waliosafiri kwenda nchi jirani kuhofia vita na kuacha kupiga kura siyo wazalendo wa nchi yao, kwani jambo hilo ni muhimu na ni haki ya kila mmoja. “Siendi sehemu yoyote, niko Dar na...

 

10 years ago

Mtanzania

Maige awashangaa wagombea urais CCM

maigeNa Khamis Mkotya, Dodoma
MBUNGE wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), amesema amesikitishwa na mwenendo wa wagombea urais kupitia chama chake kwa jinsi wanavyojinadi.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari ya Bunge mjini hapa jana, Maige alisema inasikitisha wagombea hao badala ya kujadili hoja wamebaki kushambuliana na kurushiana vijembe.
Alisema kitendo cha wagombea hao kujadili watu badala ya hoja kinaonyesha udhaifu walionao huku akiwataka kuacha siasa za...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Lulu Awashangaa Wanawake Wanaomkosoa

Mtangazaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amewashangaa wanawake  wote  ambao  wamekuwa wakimtukana kila anapoweka picha zenye mikao ya kihasara kwenye mtandao ya kijamii na kusema endapo wataendelea atawachukulia mabwana zao.

Akizungumza na Tanuru la Filamu, Aunt Lulu alisema kwamba wanawake ndiyo wanaongoza kumtukana kila akiweka  picha za kuonyesha  jinsi  Mungu alivyolia kumuumba  na kumpa  mapaja yenye ushawishi  kwa kila anayeyaangalia awe wa kike ama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani