Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NELLY KAMWELU AWASHANGAA WANAOSEMA KACHUJA

Miss Universe 2011, Nelly Kamwelu amewashangaa watu wanaodhani kukaa kwake kimya kachuja na kusema kuwa bado analipa na anavutia. Akichezesha taya na Amani, Nelly alisema kuwa bado yupoyupo sana na kwa sasa anajishugulisha na mambo ya urembo ambapo anapata tenda za kuonesha mitindo katika nchi mbalimbali.   ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1EY9bn1 ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

NELLY KAMWELU ANUNUA LIPSTIK KWA MILIONI 6

Na Musa Mateja MREMBO aliyewahi kunyakua Taji la Dunia la Miss Universe, Nelly Kamwelu, juzikati alionesha jeuri ya pesa baada ya kutoa shilingi milioni 6 za Kitanzania kwa ajili ya kununua rangi ya mdomo (Lipstick) katika mnada uliofanyika wakati wa sherehe ya bethidei ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Mrembo aliyewahi kunyakua Taji la Dunia la Miss Universe, Nelly Kamwelu. Tukio hilo lilijiri usiku wa kuamkia Novemba 2,...

 

10 years ago

Michuzi

MISS UNIVERSE TANZANIA 2011 NELLY KAMWELU ENROLLS AT THE NEW YORK FILM ACADEMY

Miss Universe Tanzania 2011 Nelly Kamwelu is in New York and has started her studied in acting at the New York Film Academy . New York Film Academy-School of Film and Acting (NYFA) is a for-profit film school and acting school based in New York City. Nelly’s enrollment is part of her scholarship to the institution that she was awarded when she won the Miss Universe Tanzania title.
Nelly Kamwelu won the Miss Universe Tanzania and Miss Southern Africa International titles in 2011. She...

 

10 years ago

GPL

AUNTY: WANAOSEMA NIMEJIFUNGUA NI MAPEPO

Stori: Imelda Mtema/Amani STAA wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amewabwatukia watu waliomzushia kuwa amejifungua na kusema kuwa anawaona kama wametumwa na mapepo wabaya. Staa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel. Akizungumza na Centre Spread, Aunty alisema anawashangaa wanaokurupuka na kuzungumza kitu ambacho si cha kweli kabisa na kwamba hakuna mtu ambaye alikuwepo siku aliyopata ujauzito huo. “ Nafikiri watakuwa na mapepo wabaya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaosema imekushinda tuwape majibu!

RAIS wangu mara kadhaa sasa umekuwa ukisikika ukisema, wako watu wanakwambia kuwa nchi imekushinda. Ni vema angalau kauli hii imekugusa mpaka moyoni. Umeisikia mwenyewe na mwenyewe umeisema hadharani, si mara moja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sungura awashangaa wanaomshambulia

MBUNGE wa Viti Maalumu, Sabrina Sungura (CHADEMA), ameshangazwa na baadhi ya Watanzania hususani wanaotoka Mkoa wa Kigoma kumshambulia kwa matusi na kejeli kwa madai kuwa anapinga ujenzi wa Kituo cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu awashangaa wachungaji wa magari

MAKAMU Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Magnus Muhiche, amesema kuwa anashindwa kuwaelewa baadhi ya wachungaji wanaotanguliza harambee za ununuzi wa magari badala ya kujenga makanisa....

 

10 years ago

Mtanzania

Johari awashangaa marafiki zake

johariGNA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Blandina Chagula ‘Johari’, ameshangaza kutokufahamu uhusiano wa urafiki na watu maarufu baada ya kudai anashangaa kuwa na marafiki wengi kwa sasa.
Msanii huyo alifikia hatua hiyo baada ya kusema kuwa kabla ya kuingia kwenye uigizaji hakuwa na marafiki lakini baada ya kuingia katika fani hiyo na kuwa maarufu amekuwa na idadi kubwa ya marafiki.
“Najulikana kwa sasa na naamini ustaa wangu na kazi zangu nilizofanya kwa umaridadi ndio unaonipa marafiki...

 

10 years ago

GPL

LULU AWAJIBU WANAOSEMA HAWEZI KUMPATA JUSTIN BIEBER

Muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu'. Muigizaji  wa filamu Elizabeth Michael 'Lulu' anaendelea kuonesha hisia zake kwa Justin Bieber na sasa ameeleza kuwa atakuwa anamuandikia ujumbe kila Jumatatu. Kupitia Instagram, Lulu amepost picha ya Justin Bieber akiwa kifua wazi akipiga kinanda na kuandika ujumbe akiwajibu wale wanaodai kuwa anaota ndoto za mchana na kwamba hatampata. “Mapemaaaa...Kabla cku...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dokii: Wanaosema Sina Jipya Kwenye Filamu Wasubiri

Staa mkongwe wa Bongo movies, Ummy Wenceslaus ‘Dokii’ amesema kuwa wanaosema hana jipya kwenye Tania ya filamu wasubiri akusanye fedha kwenye kampeni za  uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madaiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu kasha watajua kama amekwiusha au la.

Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Dokii alisema  kuwa kwa sasa hawezi kufanya mambo mawili kwani yana weza kumfanya asito kaiz nzuri bali nguvu zake amezielekeza  kwenye shughuli hiyo ya kuwapigia debe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani