NELLY KAMWELU AWASHANGAA WANAOSEMA KACHUJA
![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0DRPrPYaDrdn6418bK8uwr32l00eRbav0fP6vFF84rA46kaoxRFqF8V3dxTAMFeBo6GqIshXfGRmBx7D24HD6y6/TanzaniaNellyKamwelu.jpg?width=650)
Miss Universe 2011, Nelly Kamwelu amewashangaa watu wanaodhani kukaa kwake kimya kachuja na kusema kuwa bado analipa na anavutia. Akichezesha taya na Amani, Nelly alisema kuwa bado yupoyupo sana na kwa sasa anajishugulisha na mambo ya urembo ambapo anapata tenda za kuonesha mitindo katika nchi mbalimbali. Â ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1EY9bn1 ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqpVOefc4LYTw7ZNBZONQynAqPkAHZLxjEuH9pSdt*G2iQiZjjBi8iycQkLDGI3Aa7WQhMdfI5zkvl2R9CpkMu2A/NELLY.jpg?width=650)
NELLY KAMWELU ANUNUA LIPSTIK KWA MILIONI 6
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OhApmEZXsNY/VC6e9Ks6MBI/AAAAAAAGnkY/MC6e1mxJa5Y/s72-c/Nelly%2BKamwelu%2BNew%2BYork.jpg)
MISS UNIVERSE TANZANIA 2011 NELLY KAMWELU ENROLLS AT THE NEW YORK FILM ACADEMY
![](http://4.bp.blogspot.com/-OhApmEZXsNY/VC6e9Ks6MBI/AAAAAAAGnkY/MC6e1mxJa5Y/s1600/Nelly%2BKamwelu%2BNew%2BYork.jpg)
Nelly Kamwelu won the Miss Universe Tanzania and Miss Southern Africa International titles in 2011. She...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPjCi9KnlUYQUByeTTqiImMxlQllxHLL5iDsT4tH3d1ITrCcqhG43xBr-sEDyBxeUs9cvcD1zDxnKxyYZDNO5ex/Aunt.jpg)
AUNTY: WANAOSEMA NIMEJIFUNGUA NI MAPEPO
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Wanaosema imekushinda tuwape majibu!
RAIS wangu mara kadhaa sasa umekuwa ukisikika ukisema, wako watu wanakwambia kuwa nchi imekushinda. Ni vema angalau kauli hii imekugusa mpaka moyoni. Umeisikia mwenyewe na mwenyewe umeisema hadharani, si mara moja...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Sungura awashangaa wanaomshambulia
MBUNGE wa Viti Maalumu, Sabrina Sungura (CHADEMA), ameshangazwa na baadhi ya Watanzania hususani wanaotoka Mkoa wa Kigoma kumshambulia kwa matusi na kejeli kwa madai kuwa anapinga ujenzi wa Kituo cha...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Askofu awashangaa wachungaji wa magari
MAKAMU Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Magnus Muhiche, amesema kuwa anashindwa kuwaelewa baadhi ya wachungaji wanaotanguliza harambee za ununuzi wa magari badala ya kujenga makanisa....
10 years ago
Mtanzania04 May
Johari awashangaa marafiki zake
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Blandina Chagula ‘Johari’, ameshangaza kutokufahamu uhusiano wa urafiki na watu maarufu baada ya kudai anashangaa kuwa na marafiki wengi kwa sasa.
Msanii huyo alifikia hatua hiyo baada ya kusema kuwa kabla ya kuingia kwenye uigizaji hakuwa na marafiki lakini baada ya kuingia katika fani hiyo na kuwa maarufu amekuwa na idadi kubwa ya marafiki.
“Najulikana kwa sasa na naamini ustaa wangu na kazi zangu nilizofanya kwa umaridadi ndio unaonipa marafiki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjVSqs-gvPkl8EJBRJeu5EQDsAWozUVx-oh-lq2lKxfiD5m*RNdQ9iFccFNDGZj3xBk*OjF7MioZsizt783eBrku/LULU.jpg)
LULU AWAJIBU WANAOSEMA HAWEZI KUMPATA JUSTIN BIEBER
10 years ago
Bongo Movies27 May
Dokii: Wanaosema Sina Jipya Kwenye Filamu Wasubiri
Staa mkongwe wa Bongo movies, Ummy Wenceslaus ‘Dokii’ amesema kuwa wanaosema hana jipya kwenye Tania ya filamu wasubiri akusanye fedha kwenye kampeni za uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madaiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu kasha watajua kama amekwiusha au la.
Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Dokii alisema kuwa kwa sasa hawezi kufanya mambo mawili kwani yana weza kumfanya asito kaiz nzuri bali nguvu zake amezielekeza kwenye shughuli hiyo ya kuwapigia debe...