AUNTY: WANAOSEMA NIMEJIFUNGUA NI MAPEPO
![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPjCi9KnlUYQUByeTTqiImMxlQllxHLL5iDsT4tH3d1ITrCcqhG43xBr-sEDyBxeUs9cvcD1zDxnKxyYZDNO5ex/Aunt.jpg)
Stori: Imelda Mtema/Amani STAA wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amewabwatukia watu waliomzushia kuwa amejifungua na kusema kuwa anawaona kama wametumwa na mapepo wabaya. Staa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel. Akizungumza na Centre Spread, Aunty alisema anawashangaa wanaokurupuka na kuzungumza kitu ambacho si cha kweli kabisa na kwamba hakuna mtu ambaye alikuwepo siku aliyopata ujauzito huo. “ Nafikiri watakuwa na mapepo wabaya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Hatima ya Katiba inahusishwa na mapepo?
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.
Shabiki akipata picha...
10 years ago
MichuziCASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Wanaosema imekushinda tuwape majibu!
RAIS wangu mara kadhaa sasa umekuwa ukisikika ukisema, wako watu wanakwambia kuwa nchi imekushinda. Ni vema angalau kauli hii imekugusa mpaka moyoni. Umeisikia mwenyewe na mwenyewe umeisema hadharani, si mara moja...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0DRPrPYaDrdn6418bK8uwr32l00eRbav0fP6vFF84rA46kaoxRFqF8V3dxTAMFeBo6GqIshXfGRmBx7D24HD6y6/TanzaniaNellyKamwelu.jpg?width=650)
NELLY KAMWELU AWASHANGAA WANAOSEMA KACHUJA
10 years ago
Bongo Movies27 May
Dokii: Wanaosema Sina Jipya Kwenye Filamu Wasubiri
Staa mkongwe wa Bongo movies, Ummy Wenceslaus ‘Dokii’ amesema kuwa wanaosema hana jipya kwenye Tania ya filamu wasubiri akusanye fedha kwenye kampeni za uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madaiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu kasha watajua kama amekwiusha au la.
Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Dokii alisema kuwa kwa sasa hawezi kufanya mambo mawili kwani yana weza kumfanya asito kaiz nzuri bali nguvu zake amezielekeza kwenye shughuli hiyo ya kuwapigia debe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjVSqs-gvPkl8EJBRJeu5EQDsAWozUVx-oh-lq2lKxfiD5m*RNdQ9iFccFNDGZj3xBk*OjF7MioZsizt783eBrku/LULU.jpg)
LULU AWAJIBU WANAOSEMA HAWEZI KUMPATA JUSTIN BIEBER
10 years ago
Bongo Movies09 Feb
Wema Awashukia wanaosema wanachukia wakati wanapeleleza anachokiweka mtandaoni!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu ambae kwasasa amekuja kivingine na mwingine, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu wanaosema hawa mpendi na kumchukia lakini bado wanapeleleza na kumfualitia kila anachokiweka mtandao, na kutumia akaunti feki kumchafua kwa maneno machafu....amewaita jina baya na kuwambia wanatamani kuwa kwenye matawi yake....
“If u say u Hate me and still come spying on what i post plus create fake accounts to insult me, BITCH you actually Envy me... Gnyt now....” Wema...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/P5NKfaKdwW0/default.jpg)