Wema Awashukia wanaosema wanachukia wakati wanapeleleza anachokiweka mtandaoni!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu ambae kwasasa amekuja kivingine na mwingine, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu wanaosema hawa mpendi na kumchukia lakini bado wanapeleleza na kumfualitia kila anachokiweka mtandao, na kutumia akaunti feki kumchafua kwa maneno machafu....amewaita jina baya na kuwambia wanatamani kuwa kwenye matawi yake....
“If u say u Hate me and still come spying on what i post plus create fake accounts to insult me, BITCH you actually Envy me... Gnyt now....” Wema...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P7mZ23AcE1c/VTcH4al_JXI/AAAAAAADjbQ/gaUu0vmb7Os/s72-c/wema-2.jpg)
WEMA SEPETU AWATOLEA UVIVU WANAOSEMA ANA MIGUU MIBAYA NA MAKOVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-P7mZ23AcE1c/VTcH4al_JXI/AAAAAAADjbQ/gaUu0vmb7Os/s1600/wema-2.jpg)
Staa wa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao wameibuka kwa wingi mtandaoni wakiitoa karoso miguu ya staa huyo mara baada ya Wema kuweka picha kadhaa akiwa amevaa sketi amabayo inaonyesha miguu yake.“Naomba niwaulize nyinyi mnaojiona miungu watu.... Mlitaka nijiongeze nyama miguuni kwangu au...? Ndo ilivyo na kuacha kuvaa nguo za kuionesha siwezi... Ntavaa tu... Yaani wala siwezi acha... Iwe mibaya iwe ina makovu iwe na michirizi ni ya Wema Sepetu... na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/P5NKfaKdwW0/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies03 Jun
Wema Sepetu Awashukia Waandaaji wa Instagram Party, Kisa Malipo ya Mzee Majuto
Staa wa Bongo Movies Wema Sepetu ameamaua kuwachana wazi wazi waandaaji wa Instagram Party kwa kitendo chao cha kutomlipa pesa hadi sasa hivi staa mwenzake Mzee Majuto.
Waandaaji wa Instagram party sijawapenda kiukweli. Mpaka nimefkia hatua ya kuandika basi mjue kuwa mmenikwaza. Mlikuja kwangu na mkaniomba niwatafutie Huyu Mzee wa watu... Kwa moyo mmoja nilifanya hivyo, Iweje leo hii kashamaliza kazi msitake kumlipa hela yake... Baba wa watu katoka Tanga na nauli yake, mpaka hotel...
10 years ago
Bongo Movies10 Mar
Wolper: Kipini Puani Kimenijazi Inzi Mtandaoni, Wakati Kinaniingizia Hela!
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ameyasema hayo baada ya hapo jana baadhi ya mashabiki mtandaoni kumshambulia mara baada ya kubandika picha akiwa na kipini puani.
“Ewe kipini....kipini kipuli kipuli...kiheren kihereni umenijazia inzi kwenye akauni yangu yangu lakini kipini nivumilie nimalize hii Movie na we utapumzika lakini kipini nilivyokuhusudu naunaendana na kabila la Mama yangu upande wa bibi mza mama Masai basi nitakufkria eidha uwe ndonya yangu yakudumu au nitakutoa lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa5ykzFMfmh7pSmwlW**2lmQk6HoB0QbNQazDbT-spRc4J0a6w9-kZafShIO3cj*6d88oByKSro4aGmeMyrGNdHg/wema_sepetu_na_ommy567.jpg?width=650)
PICHA ZA WEMA, DIMPOZ ZAWA KIVUTIO MTANDAONI
10 years ago
Bongo Movies06 Feb
Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawavutia Wengi Mtandaoni!!!
Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.
Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.
Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...
10 years ago
Bongo Movies06 Feb
Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawa Gumzo Mtandaoni!!!
Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.
Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.
Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...
10 years ago
Bongo Movies11 Feb
Wema Amtusi Shemeji wa Zari, Kisa?! Kuvujisha Picha Mtandaoni!
SEKESEKE: Inadaiwa kuwa mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’ amemporomoshea matusi mazito shemeji wa Zarina Hassan ‘Zari’, King Lauwrance akidai amemuudhi sana kwa kitendo cha kuvujisha picha inayomuonesha akiponda raha nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ na mume wa Zari, Ivan Semwanga.
Kama tunavyojua Wema na staa wa Bongo Fleva, Omari Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ walikwenda Sauz kufanya Le Project ya Video.
Kwa mujibu wa chanzo cha GPL kilichokuwa Sauz, baada ya Wema na Ommy kutua nchini humo na ‘project’ ...
10 years ago
Bongo Movies04 Jun
Wema na mpenzi wa Linah kunani?? Picha yao ya kimahaba yanaswa mtandaoni
Nadhani hatuna haja ya kueleza zaidi ni maeneo gani hiyo picha itakuwa imepigwa. Wewe mwenyewe unaweza kuwa shahidi wetu. Pichani ni mwanadada wetu Wema Sepetu na kijana aliyetajwa kuwa ni mpenzi wa mwanamuziki linah sana. Hatujui kinachoendelea mpaka sasa, yawezejana ni video mpya inafanyiwa promo, yawezekana ni tangazo la TV au bidhaa mpya mtaani na wala haituhusu, Ila tumeona si vyema tusipowaletea kinachojiri hivi sasa kati ya hao wawili.
Sisi yetu macho.
Kufahamu ni KODI gani...