Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatima ya Katiba inahusishwa na mapepo?

Pamoja na maelezo yanayotolewa na baadhi ya viongozi hapa nchini kuhusu jinsi ya kutatua mgogoro unaoikumba nchi yetu hivi sasa ambao unatishia upatikanaji wa Katiba Mpya, tunalazimika kuungana na wote ambao wamekuwa wakisema kwamba hatima ya Katiba Mpya imo mikononi mwa Rais Jakaya Kikwete pekee. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya

>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Hatima Bunge la Katiba Jumatatu

Rais Jakaya Kikwete amesema mkutano wake na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) utakaofanyika Jumatatu Septemba 8, mwaka huu ndiyo utakaotoa mwelekeo wa namna ya kulinusuru Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Hatima ya Bunge la Katiba mikononi mwa JK

>Hatima ya Bunge Maalumu la Katiba imebaki mikononi mwa Rais Jakaya Kikwete, ambalo limemwandikia barua kiongozi huyo wa nchi kutaka ufafanuzi wa kisheria kuhusu tarehe ya mwisho ya kumaliza vikao vyake.

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja kuamua hatima Bunge la katiba leo

Hatima ya kesi mbili za kupinga Bunge la Katiba, inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda: Uchaguzi unasubiri hatima ya Katiba Mpya

Waziri Mkuu amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa yameanza lakini kikwazo ni msimamo wa Ukawa katika kupata Katiba Mpya kwa wakati uliopangwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Simba wasubiri hatima ya katiba yao

Kamati ya Uchaguzi ya Simba imeiomba Ofisi ya Msajili wa Klabu na Vyama  vya Michezo nchini ikamilishe mapema usajili wa katiba ya klabu hiyo iliyofanyiwa marekebisho.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikao cha tcd, ni kipi mlichokubaliana kuhusu hatima ya Katiba Mpya?

Nimeendelea kuyasoma magazeti ya siku ya Ijumaa ambayo yalisheheni maudhui ya kikao cha wadau wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Wadau wakubwa wa TCD ni vyama vya siasa hasa Chama cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR-Mageuzi na Chama cha UDP.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba ipeni nchi yetu hatima njema

HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete imechukuliwa kuwa ni hotuba ya kuwashinikiza, kushauri na kuelekeza nini kifanyike katika mchakato wa kujadili rasimu ya pili ya Katiba mpya ndani ya Bunge Maalumu...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM),imepigilia msumari wa mwisho kuhusu sintofahamu ya vikao vya Bunge Maalum la Katiba baada ya kukubaliana na mwenendo mzima wa Bunge hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani