Kanda ya ziwa yaongoza ugonjwa wa mdomo sungura
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza, Sekou - Toure, Onesmo Rwakendelya amesema mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kujifungua watoto wenye ugonjwa wa mdomo sugura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo"IMETOSHA" YAJITAMBULISHA KANDA YA ZIWA
9 years ago
Habarileo16 Aug
Waandishi Kanda ya Ziwa wafundwa
WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kutekeleza wajibu wao kwa kufuata maadili na misingi ya uandishi wa habari hususan za uchunguzi wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mashabiki kanda ya Ziwa wastaarabu.
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Lowassa atesa kanda ya Ziwa
Na Waandishi Wetu
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameendelea kutesa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa anakopita kutafuta wadhamini akitafuta kuteuliwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa alianza kusaka wadhamini alipotua mkoani Mwanza wiki iliyopita ambako alipata mapokezi makubwa huku maelfu ya wana CCM wakijitokeza kumdhamini.
Hadi sasa Lowassa ametembelea mikoa ya Mwanza ambapo alidhaminiwa na wanachama 2676 , Geita, Mara, Mjini na Magharibi Zanzibar na Kaskazini na...
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mbili kutoka Kanda ya Ziwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXVQ5DuD1Qace9dDRPZtINoNG22-WYX83HqDgiupkHqnpoqNecrgirS0f8wnmXHo29ODi1eqyT1URYlkPvXSjDCk/3.jpg?width=650)
MAGUFULI GUMZO KANDA YA ZIWA!
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UPJrPURGqlw/XqQE1LREBpI/AAAAAAAC35o/8yvxtjCTDKMlLnbmJ06dSaFk87sZypFLwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
MIKOA YA KANDA YA ZIWA YAKUMBWA NA TETEMEKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UPJrPURGqlw/XqQE1LREBpI/AAAAAAAC35o/8yvxtjCTDKMlLnbmJ06dSaFk87sZypFLwCLcBGAsYHQ/s400/1.webp)
Mjolojia Mwandamizi kutoka taasisi ya Jiolojia Bwana Gabriel Mbogoni amesema Tetemeko hilo lina ukubwa wa 4.6 katika Vipimo vya Richta.
Bwana Mbogoni amesema Tanzania imepitiwa na mkondo wa bonde la ufa la Afrika Mashariki ikiwa na mikondo miwili mkondo wa Mashariki na mkondo wa Magharibi hivyo matukio ya mateteko ya ardhi...
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Miss Albino kusakwa Kanda ya Ziwa
NA GEORGE KAYALA
BAADA ya kupatikana washindi wa Miss Albino Kanda ya Mashariki na Kaskazini, kwa sasa shindano hilo linatarajiwa kufanyika Kanda ya Ziwa mwishoni mwa mwezi ujao jijini Mwanza ikiwa ni harakati za kuendelea kumsaka Miss Albino Tanzania 2016.
Mratibu wa shindano hilo, Alexander Matowo, aliliambia MTANZANIA jana kuwa maandalizi kwa ajili ya kumpata mshindi huyo yanaendelea ambapo tarehe na ukumbi vitawekwa wazi mwishoni mwa wiki hii.
Washindi waliopatikana hadi sasa ni...
11 years ago
Habarileo13 Apr
Ndoa za utotoni zakithiri Kanda ya Ziwa
MIKOA ya Kanda ya Ziwa na Magharibi ina huduma zisizoridhisha za uzazi wa mpango, kutokana na kuwa na viashiria vingi vya ndoa za utotoni.